Mkakati wa Freeman Mbowe kugombea urais utaangamiza CHADEMA kama utaendelea anavojipanga

Sisi kama vuguvugu la madiliko hatuwatambui watu wa visiwani ( Zan & Pemb).
Zanzibar wana wa2 1.5 million ambao wanaingia mara mbili kwa mji mzima wa Mwanza na wanaingia mara 9 kwa kanda ya ziwa.
Chadema wanaitaji kushinda kwa kishindo KANDA YA ZIWA, KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, na KANDA YA KASKAZINI. Maeneo mengine ya nchi CDM watagawana kura na vyama vingine.
Zanzibar haina umuhimu.


Big up, Big up .....
Wazenji ni ndugu zetu na wengi ni ndugu wa damu kabisa kwan walipelekwa kwa maana ya utumwa kutokea tanganyika- namaanisha sehem ya wazenji sio wote.

Hivi karibun bila woga wala aibu ndugu zetu hawa wanatukataa waziwazi hadhalan! Tutajitahid kuwaomba kuimarisha undugu wetu nakama wataendelea kututosa hakuna sabab bali kuachana nao, na 'dhambi ya ubaguzi itakuwa juu yao na kuwafuata kwa kuwatafuna'-mwalimu JK nyerere.
 
M4C ni mkakati binafsi wa Mbowe wa kujiimarisha kisiasa na aombe mungu mzee Mtei awepo mpaka kipindi cha uchaguzi vinginevyo jasho pua litamtoka.
 
M4C ni mkakati binafsi wa Mbowe wa kujiimarisha kisiasa na aombe mungu mzee Mtei awepo mpaka kipindi cha uchaguzi vinginevyo jasho pua litamtoka.


Kama nikwa manufaa ya kuamsha watanzania kuzijua na kuzidai haki zao ni heri aimarike zaid huyo Kamanda Mbowe.

-mwanza wanafaham haki zao na kwa jumla kanda ya ziwa yote.

-mbeya wanafaham haki zao na kwa jumla kanda ya nyanda za juu kusin yote.

-huko kusin tandahimba hawaibiwi korosho zao wanajua haki zao waulize polisi wakueleze

-huko moro, kilosa nk

Kama unaongea kwa kubeza na ukijua nguvu ya m4c pole. Kama hujui tembea mikoan ujionee mabadiliko usikalie propaganda wenzio wanahamia kwa Mbowe kwa sabab sera ya maisha bora kwa kila mtanzania imeshindwa na kinyume chake ni maisha balaa kwa watanzania maskin na bora kwa viongozi na familia zao na mafisadi.

ww pia unakalibishwa upande wa kuzijua na kuzidai haki zako. Kumbuka ndugu zako huko vijijin waislam/wakritu wanataabika. Elim na afya ni aibu kubwa waonee huruma.
 
Mbowe ni coward!


Mingoi ww, kusema tu coward haitosh. unasabab zipi kumwita mtu coward? Inawezekana akawa coward lakin tushawish kwa hoja na wakati unafanya hivyo uwe na mifano hai na vielelezo kuthibitisha kauli yako. Ukishindwa tambua fika ww ndo utakuwa coward.

Simtetei mbowe, bali ni kuweka kumbukumbu sawa tu.

Bila kusahau ulinganifu wa uzito wa kashifa mfano:-

-chenge na vijisent

-richomond na watawala wetu

-Ccm na epa

Nk, nk, nk .......
 
Mie naona kwanza wangejaribu kupata japo nusu kitu (uwakilishi) huko Zanzibar.
Zanzibar si nchi nyingine? Mwisho wenu 2014 tarehe 26 April siku ambayo katiba mpya itasema Zanzibar na tanganyika ni nchi mbili tofauti...Wewe ndio utakuwa wa kwanza kuruid kwenu Zenji zomba
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kimbunga,
Mbona umefanya makusudi umemsahu Lema na kundi lake.

Mkuu Ritz kwani Lema naye ana kundi la Urais? Naona Zitto na Mbowe walishaenda kuwaona diaspora na Lema naye alishatia timu bado Dr. Slaa. Mkuu Ritz hayo makundi kwa hakika yapo lakini CDM wanaficha kichwa kama mbuni. Wangeamua tu kwamba mtu akipewa nafasi ya kujaribu apewe mara mbili mfululizo hivyo ingekuwa nafasi ya Dr. lakini kwa kuwa si hivyo basi kila mtu anataka ajipime. Kuna kosa kubwa linakaribia kufanyika nalo linaendana na usemi wao kuwa CDM hata ikiweka jiwe dhidi ya CCM jiwe litachaguliwa. Hii ni psychological war kuwaaminisha watu kuwa wananchi wameichoka CCM kiasi kwamba mtu yeyote anaweza kugombea kwa CDM na kushinda Urais.
 
Last edited by a moderator:
Safari hii watu watajiangaisha sana. Watakwenda kwa waganga, watatumia propaganda, vyombo vya habari rushwa, vyombo vya dola nk. Lakini UKWELI NI KUWA RAIS WA TANZANIA AJAYE MUNGU AMESHAMWANDAA NA HAITEGEMEI CHAMA WALA NINI. KUSUDI LA BWANA NDILO LITAKALOSIMAMA MAWAZO YA WANADAMU YOTE YATAFUTIKA. TUSUBIRI TU MUDA.
 
Zanzibar si nchi nyingine? Mwisho wenu 2014 tarehe 26 April siku ambayo katiba mpya itasema Zanzibar na tanganyika ni nchi mbili tofauti...Wewe ndio utakuwa wa kwanza kuruid kwenu Zenji zomba

Kama nyie mna nguvu ya renaissance (M4C) sisi tuna nguvu ya umma. Hapo sasa.

Umewahesabu na ndugu zao wapenzi wa Zanzibar walioko bara? si unawajuwa kina nani?
 
kweli wa2 cjui wakoje,mbona mnawasiwasi sna na slaa?saizi tupo busy na m4c mtahangaika sana
 
Akili za akina Mazomba hizi .
CCM knows kwamba Mbowe amekuwa kisiki na Slaa .Sasa wanaanza majungu .Akili ndogo hizi haziwezi kuongoza kubwa .Mkakati umeshindwa kabla haujaanza .Mbowe is very smart na hana shida na Urais na yeye kugombea uenyekiti tena nakubali maana ameongoza vyema Chadema akiwemo Zitto na wote wana Chadema .Mbona hamsemi Lipumba na KAFU maana mnajua kisiki ni Chadema na viongozi wake[/QUOTE]

Mkuu, Lunyungu hapo kwenye RED umemaliza. Na hii pia inathihirisha ule msemo " Mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe".
 
huna hoja ndugu yangu.huu ni upuuzi mtupu.kwani wakati slaa alipogombea mwaka jana mbowe hakuwa mwenyekiti?
 
Freeman Alkaeli Mbowe anaamini kuwa fursa ya CHADEMA kuchukua nchi ni 2015,hivyo ni fursa muhimu kwake kugombea urais kupitia CHARDEMA,ili afanikiwe ameamua kugombea tena uenyekiti wa CHADEMA mwakani ili ajiweke katika nafasi nzuri kinyume na kauli yake kuwa hatagombea uenyekiti tena.

Ili kufanikiwa kwa sasa mkakati unaoratibiwa na wafanyakazi wa CHADEMA ndani ya chama ni kuandaa na kuratibu mapambano dhidi ya Dr.Slaa anaeonekana kuwa kikwazo kikuu na kisiki cha mpingo kwake,hofu juu ya zitto inazidi kupungua kutokana na umri,kasha zinazozidi kumuandama Kabwe.

Wapenda haki na mabadiliko ndani ya nchi hii,mwambieni Freeman Mbowe kuwa kwa sasa Dr.Slaa anafaa kwa vigezovyote japo anamadhaifu mengi kama wanadamu wengine lakini ukimlinganisha na Mbowe utajua umuhimu wa Dr. Slaa.

Naomba kusema haya kwa kuwa napenda mabadiliko yatakayohakisi maisha ya watanzania na si vinginevyo

Mlikaa wapi na Mbowe akakueleza dhamira yake hii? Naona umetumwa na MAGAMBA wanahofia mabadiliko. Poleni sana.
 
Mkuu hujasikia kuna mama anapitapita huku na huku kusafisha njia? Zitto ana kundi la vijana, Dr. Slaa ana ...........

Hapo kwenye red Mkuu! Vijana walikuwa wanampenda Zitto before year 2009! Baada ya ule uchaguzi na baada Zitto kuandamwa na tuhuma lukuki Zitto kapoteza imani kutoka kwa Vijana wengi sana. Uliza vizuri. Au wewe mwenyewe fanya research hapo mtaani kwako unapokaa, waulize Vijana wanamuonaje Zitto? Utapata tathmini yao.

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),

tumbiri@jamiiforums.com
 
Kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini kwa sasa. Itakuwa busara sana uongozi wa juu wa CHADEMA uliopo sasa ukaendelea mpaka 2015 ipite. Tabia ya kubadili makamanda kwenye uwanja wa mapambano huwa unarudisha nyuma morali ya kivita hasa kama vita yenyewe inaelekea kuisha kwa ushindi.
 
Mkuu TUMBIRI nakubaliana na wewe kwamba ushawishi wa zitto kwa vijana si kama wakati ule. Naamini kumekuwa na juhudi za makusudi za kumchafua. Siamini kama ni mchafu kiasi hicho. Ni kweli kuna vijana huwa wanajivhanganya na sisi wazee kwenye kijiwe chetu cha kahawa wanasema Zitto ni mvurugaji ukiwauliza kwa vipi wanakosa la kusema; wamesoma kwenye magazeti! Pamoja na hayo lakini bado Zitto ana kundi kubwa la vijana ndani ya CDM. Vijana wa CDM wanaungana kupinga uhafidhina ndani ya Chama chao.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu TUMBIRI nakubaliana na wewe kwamba ushawishi wa zitto kwa vijana si kama wakati ule. Naamini kumekuwa na juhudi za makusudi za kumchafua. Siamini kama ni mchafu kiasi hicho. Ni kweli kuna vijana huwa wanajichanganya na sisi wazee kwenye kijiwe chetu cha kahawa wanasema Zitto ni mvurugaji ukiwauliza kwa vipi wanakosa la kusema; wamesoma kwenye magazeti! Pamoja na hayo lakini bado Zitto ana kundi kubwa la vijana ndani ya CDM. Vijana wa CDM wanaungana kupinga uhafidhina ndani ya Chama chao.
Kimbunga,
Mi nipo ndani ya CHADEMA kwa muda mrefu najua mambo mengi sana ya chama. Leo hii tukianza kufanya research kukusanya takwimu ya vijana ndani ya CDM ambao ni Pro-ZITTO hawatafika hata hamsini nchi nzima. Ingekuwa kabla ya mwaka 2009 ningekukubalia. Vijana wengi wamemtupa mkono Zitto.

Ingawa wengi ukiwauliza kwa nini hawamtaki Zitto watakupa ushahidi huo huo wa kwenye magazeti ingawa siyo reliable. Lakini kutokuwepo kwa ushahidi ambao ni reliable haina maana kwamba anapendwa! Imani ni kitu kibaya sana. Watu wakishakuwekea doubt unahitaji kazi ya ziada kurejesha imani yao.

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
 
Hawa jamaa wa chadema makini aana, hawawezi kubugi! Hata hivyo muda Wa kuchagua mgombea uraisi bado. Sasa hivi ni kujenga chama.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom