Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
- Thread starter
- #21
Suala la ama kalengwa nani au yupi hapan wala hainisumbui mimi; nataka kuona MAFISADI woote na mfumo yao imeondoka bila kujali cha Mkristo wala Muislamu. Kama wakati wa wizi mzima walitumwa ama na kanisa au msikiti basi nitakusiliza katika hili.
Tusidanganyane, lengo la CCM kuvua gamba ni la kututema sie Waislamu tu.