That is good ila tatizo ni kwamba hakuna chama cha upinzani hata kimoja tanzania ambacho kipo active kwa hivi sasa tanzania kwa hiyo hata tukimyima na familia zetu atashinda tu kwa kura za wengine
Katika hotuba aliyoitoa Rais Kikwete wakati akizungumza na wazee wa CCM Dar Es Salaam alisema hajali kama Wafananyakazi Zaidi ya 300,000 wa Serikali wakimnyima Kura, hata wasipompigia kura atashinda tu.
Baada ya Kuitafakari sana ile kauli yake mimi na Familia yangu tumeamua Kumnyima kura JK katika uchaguzi wa 2010.
Naomba na wewe na Familia yako muamue leo, you all say no to JK and his party in 2010 general election
Kuna wafanyakazi 350,000 hawa wana watoto, dada, mama, kaka n.k lets say nyuma ya kila mfanyakazi kuna watu sita
Jumla ya Kura dhahiri ambazo JK amezikataa zitakuwa ( Mfanyakazi + 6) * 350,000 = 2,450,000
M'**** ulitakiwa ujiandikishe ndo impact ingeonekana sasa usipojiandikisha ina maana hupigi kura na usipopiga haina madhara yoyote. Mimi najua JK atapita tu ila nataka apite kwa aibu asilimia 45%.Code:mi na familia yangu hakuna hata mmoja aliyejiandikisha kupiga "KULA"Code: