Elections 2010 Mkakati: Nimeamua na wewe amua leo, Say no to CCM

NO NO NO NO wapumzike kidogo ni vichwa vigumu hao wananyonya nchi kwa mdomo mikono,****** na miguu let them perish
 
That is good ila tatizo ni kwamba hakuna chama cha upinzani hata kimoja tanzania ambacho kipo active kwa hivi sasa tanzania kwa hiyo hata tukimyima na familia zetu atashinda tu kwa kura za wengine
 
That is good ila tatizo ni kwamba hakuna chama cha upinzani hata kimoja tanzania ambacho kipo active kwa hivi sasa tanzania kwa hiyo hata tukimyima na familia zetu atashinda tu kwa kura za wengine

Mkuu kinachotakiwa ni Familia ykoa na Familia za Wengine Muamue
 
Mimi familia yangu pamoja na wale wanaonizunguka ikiwewo wakuu tunaokaa nao kwa stuli ndefu HATUKIPI hicho chama chao kura. Nao pia wameniahidi kwenda wahamasisha jamii zao.... hahaha......

Alifikiria wafanyakazi 350, 000 walioko kwa direct employment ya serikali lakini sasa wakati umefika tumfundishe multiplier effect. '' Shame upon economist who doesnt appreciate multiplier effect''
 
Code:
Katika hotuba aliyoitoa Rais Kikwete wakati akizungumza na wazee wa CCM Dar Es Salaam alisema hajali kama Wafananyakazi Zaidi ya 300,000 wa Serikali wakimnyima Kura, hata wasipompigia kura atashinda tu.
Baada ya Kuitafakari sana ile kauli yake mimi na Familia yangu tumeamua Kumnyima kura JK katika uchaguzi wa 2010.
Naomba na wewe na Familia yako muamue leo, you all say no to JK and his party in 2010 general election
Kuna wafanyakazi 350,000 hawa wana watoto, dada, mama, kaka n.k lets say nyuma ya kila mfanyakazi kuna watu sita
Jumla ya Kura dhahiri ambazo JK amezikataa zitakuwa ( Mfanyakazi + 6) * 350,000 = 2,450,000
Code:
mi na familia yangu hakuna hata mmoja aliyejiandikisha kupiga "KULA"
 
hivi hakua watu ndani vyama vingine-sipendi neno vyama vya upinzani, aje na ajenda nzuri juu ya wafanyakazi? maana jamaa kashasema yake, hakuna kupanda mshara kufika laki 305,000 hata kwa miaka 8 ijayooooooo, kudadadeki , cup,chadema, lakini sio ccm-b(tlp) mtaji huo
 
Uamuzi huu nilishautangaza toka siku nyingi kabla hata ya TUCTA mimi familia yangu ya watu saba mpaka house girl amejiandikisha na majirani wamejiandikisha na wote hatuipigii kura sisi em. Rais sitampigia kabisaaaa na Makongoro nilishasema. Ili makongoro aendelee kutetea mafisadi akiwa sio mbunge aone moto wake.
 
Code:
Code:
mi na familia yangu hakuna hata mmoja aliyejiandikisha kupiga "KULA"
M'**** ulitakiwa ujiandikishe ndo impact ingeonekana sasa usipojiandikisha ina maana hupigi kura na usipopiga haina madhara yoyote. Mimi najua JK atapita tu ila nataka apite kwa aibu asilimia 45%.
 
Back
Top Bottom