Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Katika hotuba aliyoitoa Rais Kikwete wakati akizungumza na wazee wa CCM Dar Es Salaam alisema hajali kama Wafananyakazi Zaidi ya 300,000 wa Serikali wakimnyima Kura, hata wasipompigia kura atashinda tu.
Baada ya Kuitafakari sana ile kauli yake mimi na Familia yangu tumeamua Kumnyima kura JK katika uchaguzi wa 2010.
Naomba na wewe na Familia yako muamue leo, you all say no to JK and his party in 2010 general election
Kuna wafanyakazi 350,000 hawa wana watoto, dada, mama, kaka n.k lets say nyuma ya kila mfanyakazi kuna watu sita
Jumla ya Kura dhahiri ambazo JK amezikataa zitakuwa ( Mfanyakazi + 6) * 350,000 = 2,450,000
Baada ya Kuitafakari sana ile kauli yake mimi na Familia yangu tumeamua Kumnyima kura JK katika uchaguzi wa 2010.
Naomba na wewe na Familia yako muamue leo, you all say no to JK and his party in 2010 general election
Kuna wafanyakazi 350,000 hawa wana watoto, dada, mama, kaka n.k lets say nyuma ya kila mfanyakazi kuna watu sita
Jumla ya Kura dhahiri ambazo JK amezikataa zitakuwa ( Mfanyakazi + 6) * 350,000 = 2,450,000