nimeangali testimony ya hawa vilaza kwenye blogu ya michuzi na kuiweka kwenye utube.
It is beggars belief kujidai kuwa wanataka kuleta maendeleo ya wananchi kwa kugombea ubunge.
Kibogoyo anagombea jimbo la muleba kaskazini
george mwakalinga jimbo moja huko iringa
ndio maana nchi yetu inakwenda nyuma,kama hawa vilaza wakichaguliwa kwenye bunge !