EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Tume ya Katiba jana ilizinduliwa rasmi na kukabidhiwa ofisi.
Akizungumzia kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwamba Tume hiyo haiko kwa ajili ya kuvunja Muungano, mmoja wa wajumbe wa Tume hiyo kutoka Zanzibar, Awadh Ali Said alisema hata kama maneno hayo yalizungumzwa na Rais, siyo kikwazo cha wananchi kukubali au kuukataa Muungano.
"Sisi tunakwenda kuwauliza wananchi, wao ndiyo watakaoamua kama wanautaka au hawautaki Muungano. Kama hawautaki tutaleta majibu hayo. Maneno hayo hata kama yamezungumzwa na Rais, siyo sheria, wananchi ndiyo watakaoamua," alisema Said.
Source Mwananchi.
Akizungumzia kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwamba Tume hiyo haiko kwa ajili ya kuvunja Muungano, mmoja wa wajumbe wa Tume hiyo kutoka Zanzibar, Awadh Ali Said alisema hata kama maneno hayo yalizungumzwa na Rais, siyo kikwazo cha wananchi kukubali au kuukataa Muungano.
"Sisi tunakwenda kuwauliza wananchi, wao ndiyo watakaoamua kama wanautaka au hawautaki Muungano. Kama hawautaki tutaleta majibu hayo. Maneno hayo hata kama yamezungumzwa na Rais, siyo sheria, wananchi ndiyo watakaoamua," alisema Said.
Source Mwananchi.