ismathew
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 253
- 38
Hiyo si siasa bali ni tamaa ya uchumia tumbo kwa maslahi binafsi, mwanasiasa makini mwenye ufahamu nini maana ya kuwaongoza
na kuwatetea wananchi awezi kujidhalilisha kwa kununuliwa na pesa zillizopatikana kiufisadi, kwa maana hiyo yuko kinyume na wananchi
na hafai kuwa kiongozi mbele yao.
CHADEMA kuhusu huyo mjumbe wa kamati kuu aliyenunuliwa mchukulie ni mzigo wa takataka mlioutupa jalalani, kwani alikuwa ameficha makucha yake na sasa kuyatoa na kuonyesha kama yeye si muadilifu na kujiondolea sifa za uongozi.
Ni bora alivyoondoka kuliko kukitia doa chama cha CDM. Kama ni ufisadi, rushwa na kutumia mabavu kuwakandamiza na kuwaibia
wananchi hayo yote akayafanye akiwa Ccm. CDM ibakie safi daima.
na kuwatetea wananchi awezi kujidhalilisha kwa kununuliwa na pesa zillizopatikana kiufisadi, kwa maana hiyo yuko kinyume na wananchi
na hafai kuwa kiongozi mbele yao.
CHADEMA kuhusu huyo mjumbe wa kamati kuu aliyenunuliwa mchukulie ni mzigo wa takataka mlioutupa jalalani, kwani alikuwa ameficha makucha yake na sasa kuyatoa na kuonyesha kama yeye si muadilifu na kujiondolea sifa za uongozi.
Ni bora alivyoondoka kuliko kukitia doa chama cha CDM. Kama ni ufisadi, rushwa na kutumia mabavu kuwakandamiza na kuwaibia
wananchi hayo yote akayafanye akiwa Ccm. CDM ibakie safi daima.