Ktk huo ujumbe Mxxxxx ni nani??? Mrema, Mbowe au nani???Mnataka kusema kuwa kwa mtaji huu Mwenyekiti wa CHADEMA amekaa kimya makusudi au ameshatumbikiza mchango wake tayari.
Mods, naomba hii thread ifutwe, sababu we can all tell kuwa imeandikwa kwa ajili ya kutupaka matope sisi wa mkoa wa Kilimanjaro.
Mzee ES, najua wewe umeletewa tu copy, lakini aliyeandika alikuwa na nia mbaya ya kuwapa matope wachagga.
Hata kama michango inaombwa isingeombwa ki hivi.
Mods, naomba hii thread ifutwe, sababu we can all tell kuwa imeandikwa kwa ajili ya kutupaka matope sisi wa mkoa wa Kilimanjaro.
Mzee ES, najua wewe umeletewa tu copy, lakini aliyeandika alikuwa na nia mbaya ya kuwapa matope wachagga.
Hata kama michango inaombwa isingeombwa ki hivi.
hizi siku tatu zimenifundisha mambo mengi kweli....
hizi siku tatu zimenifundisha mambo mengi kweli....