William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
"Ewe Mchagga unaombwa kufika Rombo Bar katika Harambee ya kumchangia Mramba kupata dhamana. Tatizo hili la Mramba si la Warombo peke yao ila ni la sisi Wachagga wote wa Machame, Kibosho, Uru, Old Moshi, Marangu, Kilema, Kirua, Sanya juu nakadhalika. Tusaidiane kwenye hili tatizo kwa kuwa ni letu sote wana wa Kichagga. Ndesamburo, Mxxxxxx , Mareale, Shirima wa Precision Air, na Alex Masawe wote wameshafika.
Au ndugu Mchagga weee, tafadhali tuma mchango wako kwenye Account maalum tuliyoifungua kwa ajili ya hili tatizo letu, kwenye:-
A/C No. 01421145081, NBC ARUSHA BRANCH."
Mungu awe nanyi, tafadhali Wachagga wote hima tumsadiei ndugu yetu Mramba.
Mods Iki-expire Ipelekwe Inakotakiwa.
Au ndugu Mchagga weee, tafadhali tuma mchango wako kwenye Account maalum tuliyoifungua kwa ajili ya hili tatizo letu, kwenye:-
A/C No. 01421145081, NBC ARUSHA BRANCH."
Mungu awe nanyi, tafadhali Wachagga wote hima tumsadiei ndugu yetu Mramba.
Mods Iki-expire Ipelekwe Inakotakiwa.