Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,731
Mzee mmoja akiwa ametulia nyumbani na mjukuu wake ikiwa ni mida ya darasani, mara ghafla akamuona mwalimu kwa mbali anakuja uelekeo wao...... BABU: jifiche mjukuu wangu mwalimu anakuja kukufuata umetoroka shuleni.
MJUKUU: Jifiche wewe asikuone maana nilimdanganya kuwa nyumbani kuna msiba Babu umekufa kwahiyo akikuona atajua nimemdanganya BABU: Unasemaje........???
MJUKUU: Jifiche wewe asikuone maana nilimdanganya kuwa nyumbani kuna msiba Babu umekufa kwahiyo akikuona atajua nimemdanganya BABU: Unasemaje........???