Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Amefanana kimaumbile na Ngisi...ni mtamu sana kwa wanaompenda!!
Lakini kuna baadhi ya vitu nahisi watu wengi watakuwa hawavijui kuhusu huyu mnyama/samaki pweza!!
Kwa wale wavuvi wanalitambua hili...huyu jamaa anavuliwa majini tofauti kabisa na samaki wengine,
Wachache/hakuna wanamvua kwa kutumia nyavu..lakini huyu jamaa anvuliwa kwa kutumia 'mdeke'(sindano ndefu kama mshale), akishapigwa kumfuata huyu jamaa chini ya maji inabidi usaule nguo zote,yaani uwe uchi!! ndio unaweza kumkamata...je walijua hili??
Tuendelee...!!
Ukishamtoa majini pale nchikavu inabidi uhakikikshe kweli kafa....unambonda sana hadi afe kabisa!!
Akiwa m'bichi ukampika..huruhiwi kumweka ndimu kwenye kikaango...ukiweka ndimu tu jamaa anayayuka!!
Yanabakia maji tu kwenye chungu...je walijua hili??
Na ndio maana watu wengi/wavuvi..wanamkausha juani.
Ukimkausha juani anatoa haruhu kali/mbaya sana...ukiwa kisirani unatapika kabisa, harufu yake mbaya mno...unajua kwa nini?? Nitafutie jibu...nikiweka jibu hapa mnaweza kujinyonga kabisa!!!
Sasa tuje kwenye mlo..!!huyu jamaa kwenye kumla kuna mchuzi wake flani mwekundu!! Wengi wanasadiki huu mchuzi ni ''jembe'' kwenye nguvu za kiume....unajua kwanini?? halafu ukimla ana tabia ya kuwasha kwenye lips...<br><br>
Na ndio maana nikasema huyu jamaa ni jini!! Ila siwaambii msile....hapana!!
Ngoja niishie hapo!!
Lakini kuna baadhi ya vitu nahisi watu wengi watakuwa hawavijui kuhusu huyu mnyama/samaki pweza!!
Kwa wale wavuvi wanalitambua hili...huyu jamaa anavuliwa majini tofauti kabisa na samaki wengine,
Wachache/hakuna wanamvua kwa kutumia nyavu..lakini huyu jamaa anvuliwa kwa kutumia 'mdeke'(sindano ndefu kama mshale), akishapigwa kumfuata huyu jamaa chini ya maji inabidi usaule nguo zote,yaani uwe uchi!! ndio unaweza kumkamata...je walijua hili??
Tuendelee...!!
Ukishamtoa majini pale nchikavu inabidi uhakikikshe kweli kafa....unambonda sana hadi afe kabisa!!
Akiwa m'bichi ukampika..huruhiwi kumweka ndimu kwenye kikaango...ukiweka ndimu tu jamaa anayayuka!!
Yanabakia maji tu kwenye chungu...je walijua hili??
Na ndio maana watu wengi/wavuvi..wanamkausha juani.
Ukimkausha juani anatoa haruhu kali/mbaya sana...ukiwa kisirani unatapika kabisa, harufu yake mbaya mno...unajua kwa nini?? Nitafutie jibu...nikiweka jibu hapa mnaweza kujinyonga kabisa!!!
Sasa tuje kwenye mlo..!!huyu jamaa kwenye kumla kuna mchuzi wake flani mwekundu!! Wengi wanasadiki huu mchuzi ni ''jembe'' kwenye nguvu za kiume....unajua kwanini?? halafu ukimla ana tabia ya kuwasha kwenye lips...<br><br>
Na ndio maana nikasema huyu jamaa ni jini!! Ila siwaambii msile....hapana!!
Ngoja niishie hapo!!