Darasa la Saba? Impossible... Una maana STD 7!?
Hapa unataka kusema nini?Bill Gates aliondoka chuoni akiwa Mwaka wa Pili (College Sophomore), leo ni MULTI-BILLIONAIRE!
Uongozi wa 'vipaji' ni kitu kimoja tu ktk requirements nyingi zinazohitajika ktk kukabili changamoto za sayari ya leo. Dunia ya leo inahusu KNOWLEDGE, ndio maana wenye busara zao wanasema KNOWLEDGE IS POWER, kwa maana kwamba unaweza ku-control mustakabali wake vyema zaidi. Leo watu wanazungumzia mambo ya kukutanika pamoja kama kijiji, kwenye kuuza na kununua, kuimarisha na kujenga miundombinu ya kisasa, kuinua sayansi na teknolojia...binafsi nisingependa wala hata kutaka kusikia ati mtu wa STD7 ashike hata ukatibu kata..this is an insult to us all. Karne hii STD7?? who are we? somekind of zombies?? HELL NO!Sometimes, suala la elimu halina msingi wala halihusiki na uwezo wa mtu kuwa kiongozi. Unaweza kuwa na PhD lakini usiwe na sifa ya kuwa kiongozi. Uongozi ni kipaji na si elimu! Kama una uwezo wa kuchambua masuala nyeti, kwa kuweza kusoma miswada ya sheria - inayoandikwa kwa Kiingereza - si lazima uwe na Bachelors, Masters au PhD degree.
Sasa mbona ni kiongozi wa CUF?Binafsi, simuoni Profesa Lipumba (ambaye ana PhD) kuwa PRESIDENTIAL MATERIAL. Ni mchumi, tena mchumi mzuri, lakini HAWEZI KUWA KIONGOZI!
Nyerere alifit scenarios na challenges za karne ile hata hivyo hakuwa successful kivile..na wengine wanasema hata ALIFELI..sasa huwezi kumchukulia Nyerere kama mfano watu wakakuchukulia serious, kwene hii kadhia.Jamani, jifunzeni kwanza SIFA za UONGOZI. Si elimu peke yake. Mbona Hayati Mwalimu Nyerere alikuwa hajahitimu Chuo Kikuu alipoanza uongozi wa Tanganyika? Mmesahau hili?
This is VERY IMPORTANT TO US, even if some of us fail to recognize the importance kwa ujinga au kwa blind love.Tuongee mambo muhimu zaidi, si hizi trivial pursuits! Hazijengi!
Hapa unataka kusema nini?
Uongozi wa 'vipaji' ni kitu kimoja tu ktk requirements nyingi zinazohitajika ktk kukabili changamoto za sayari ya leo. Dunia ya leo inahusu KNOWLEDGE, ndio maana wenye busara zao wanasema KNOWLEDGE IS POWER, kwa maana kwamba unaweza ku-control mustakabali wake vyema zaidi. Leo watu wanazungumzia mambo ya kukutanika pamoja kama kijiji, kwenye kuuza na kununua, kuimarisha na kujenga miundombinu ya kisasa, kuinua sayansi na teknolojia...binafsi nisingependa wala hata kutaka kusikia ati mtu wa STD7 ashike hata ukatibu kata..this is an insult to us all. Karne hii STD7?? who are we? somekind of zombies?? HELL NO!
Sasa mbona ni kiongozi wa CUF?
Nyerere alifit scenarios na challenges za karne ile hata hivyo hakuwa successful kivile..na wengine wanasema hata ALIFELI..sasa huwezi kumchukulia Nyerere kama mfano watu wakakuchukulia serious, kwene hii kadhia.
This is VERY IMPORTANT TO US, even if some of us fail to recognize the importance kwa ujinga au kwa blind love.
Kama Kikwete ameweza kuwa rais na kuitawala Tz kwa miaka mitano.. nakuhakikishia hata mbwa ataweza!!!!
Unajua huyo makamba(katibu wa CCM) ambaye akikwambia kula matapishi yangu, utakula ana elimu gani?Chadema chama cha vihiyo;
M/Kiti Mbowe, kihiyo
Katibu Canoon law
Naibu M/kiti Sd7
Kweli tuwaachie nchi hawa vihiyo ????
Jamaa alikuwa kashika desa lake mkononi,nadhani Obama anajiwazia atamaliza saa ngapi kusoma risala yake huyu?Dr Kikwete akiongea??? na Obama........... "Aiseee, sijui niliishia wapi kuongea....."
Una maanisha nini hapa?hee mbona mgombea mwenza kanuna?!
nini kifefu cha ZIFA?
duh jamani hizi kampeni zinachanganya watu akili,so huyo wa darsa la saba si aende shule kuna elimu ya watu wazima,chadema rudini mkajipange upya
Bill Gates aliondoka chuoni akiwa Mwaka wa Pili (College Sophomore), leo ni MULTI-BILLIONAIRE!
Sometimes, suala la elimu halina msingi wala halihusiki na uwezo wa mtu kuwa kiongozi. Unaweza kuwa na PhD lakini usiwe na sifa ya kuwa kiongozi. Uongozi ni kipaji na si elimu! Kama una uwezo wa kuchambua masuala nyeti, kwa kuweza kusoma miswada ya sheria - inayoandikwa kwa Kiingereza - si lazima uwe na Bachelors, Masters au PhD degree.
Binafsi, simuoni Profesa Lipumba (ambaye ana PhD) kuwa PRESIDENTIAL MATERIAL. Ni mchumi, tena mchumi mzuri, lakini HAWEZI KUWA KIONGOZI!
Jamani, jifunzeni kwanza SIFA za UONGOZI. Si elimu peke yake. Mbona Hayati Mwalimu Nyerere alikuwa hajahitimu Chuo Kikuu alipoanza uongozi wa Tanganyika? Mmesahau hili?
Tuongee mambo muhimu zaidi, si hizi trivial pursuits! Hazijengi!
Jamaa alikuwa kashika desa lake mkononi,nadhani Obama anajiwazia atamaliza saa ngapi kusoma risala yake huyu?