Hana ujasiri wa kueleza chanzo cha utajiri wake....
ni mwanasiasa pekee aliyesimamia maamuzi yake bila kujali nini kitamtokea baadaye. Baadhi ni haya:-
1. Utoaji wa maji ziwa victoria kupeleka shinyanga bila kujali vitisho vya mataifa wapinzani.
2. Uanzishaji wa hamasa ya shule za kata ingawa baada ya kuondoka waendelezaji wakashindwa kupeleka vifaa
3. Kunusuru taifa kuingia gizani kwa kuagiza richmond ipewe kazi ya kuleta mitambo ya umeme ingawa washindani wa kibiashara na siasa walifanya hujma hadi richmond ikashindwa ku-perform
4. Kueleza wazi wazi tatizo la ajira kwa vijana bila kuogopa kitakachomtokea ndani ya chama
5. Kupinga wazi wazi hoja ya kilimo kwanza. Shughuli ambayo inafanyika bila kuwapo na soko la mazao husika
6. Kuzuiya ujenzi katika eneo la wazi bila kujali aliyetoa ruhusa ya ujenzi huo ni rais wa nchi
.
.
.
.
.
.
.
Huo ni ushahidi wa wazi kuwa hajatokea kiongozi mwenye karisma kama lowassa.
sifa nyingine kubwa ni kwamba pamoja na porojo ulizotoa hapo juu, ndiye anayefaa kuwa rais Tanzania mwaka 2015, na hakika ndiye atakuwa!SIFA ZA LOWASA
Katika histori ya tanzania,
hajatokea mwanasiasa mtoa rushwa kama lowasa.
Hajawahi kutokea mwanasiasa Aliyeonyesha tamaa kubwa ya urais kama lowasa.
Ametengeneza mtandao mpana wa wapambe ndani na nje ya chama chake kama lowasa.
Anatuhumiwa kugawa rushwa ndani ya chama chake lakini hatasikumoja hajasimama kuikemea rushwa au kukana hizo shutuma.
Anakashfa ya ufisadi wa mabilioni na alijiuzulu lakini mwenyewe hajawai kuuthibitishia umma kwamba hakuhusika.
Anatumia nguvu kubwa kujisafisha wakati angeweza kuanika ukweli hadharani kwa ushahidi kuwa hausiki then watanzania tukamuelewa.
Mwenye kujua sifa nyingine aongezee.
Hebu nisaidie Ikulu kwako unaielewaje?.Maana naona mawazo yako yote yako IKULU.
Sio mdini.
jamii ya watu dhaifu huongozwa na aliye dhaifu kuliko woteKila jaamii huongozwa na yule ambae yuko best kwa yale ambayo jamii husika huyafanya...
jamii ya waadilifu huongozwa na muadilifu kuliko wote
jamii ya wezi huongozwa na mwizi kuliko wote
jamaa ya majambazi na watoa rushwa..huongozwa na the best among them.....
siyo mmasai kazamiaNg'ombe wa urithi si mmasai yule
kazamiaNi mmeru, ila wengi wanazani ni mmasai.
Mbali na utajiri wa kurithi kwa taarifa yako pesa nyingi kaipata kwenye uuzaji wa tanzanite,hizo za kuhusishwa na ufisadi ni kidogo sana,hamna kama yeye ndani ya c.c.m nzima
sio mdini.
Wewe ndiye unahitaji msaada. Lowasa alishiriki kwenye hujuma ya Richmond na akinufaika nao. Hizo ndizo taarifa za kiuchunguzi zilizopo. Na zina ukweli wote zinaaminika kwa wananchi wazalendo na wapiga kura wa nchi hii.Ngoja nikusaidie ndugu yangu. Issue ya Richmond sio wazi kama ulivyoaminishwa na Mwakyembe na ukakubali. Lowassa alishaizungumzia kwenye kikao cha NEC.
Nyie kwa kutimiza maono ya Mkapa ya mbilikimo wa mawazo na uvivu wa kufikiri bado mnaamini Lowassa ni mchafu.
Wapiga kura hawapo hapa JF. kwanza walio wengi JF tupo nje ya nchi. Wewe fikiria Chadema ilivyokua inaamini inakubalika kati ya kata 29 udiwani imeambulia 5 tu.
What message are you getting?
Ikulu ni makazi na ofisi ya Rais au kiongozi wa mwisho kimadaraka wa nchi.