Amevikamata vyombo vyote vya ulinzi na usalama kama JWTZ, TISS na POLICE. Pia viongozi wote wa dini wanamkubali na wanataka awe rais wa Tanzania 2015.
Kila jaamii huongozwa na yule ambae yuko best kwa yale ambayo jamii husika huyafanya...
jamii ya waadilifu huongozwa na muadilifu kuliko wote
jamii ya wezi huongozwa na mwizi kuliko wote
jamaa ya majambazi na watoa rushwa..huongozwa na the best among them.....
Kwa jinsi nchi hii ilivyo shagalabagala, tunahitaji kiongozi anayeweza kuburuza watu angalau kwa kipindi kimoja cha urais. Wapo candidates kadhaa kutoka vyama vya siasa wanaoweza kushika barabara jukumu hilo. Kwa upande wa ccm hakuna mwingine zaidi ya Edward Lowassa. Huo ndiyo ukweli na utabaki kuwa hivyo.
Hata kama ni kweli, akiwa rais atakuwa wa wote. Na yakupasa kujua kuwa, hakuna mtu atakayeweza kuwa rais kwa kupata kura za waislamu tu au wakristo tu. Ni wote ndo tutakaomchagua rais wetu. Kwahiyo mimi sioni kama EL anafanya vibaya
Hivi ni kwa nini huwa mnafananisha EL na JK au wahalifu wengine wa CCM? Kwa nini msimpime kwenye mizani ya uadilifu, uzalendo na haki?El ni bora kuliko dhaifu
ni mtu wa visasi sana.