Dunia tunapita, na ya Gaddafi yamepita bado ya Kikwete na Ridhiwani
dah wazungu wanatumaliza waislamu
Hujui anakotoka mzungu! Haya ww subiri akifika kwako ndipo utakapomtambua. Wewe jifanye hujui, huoni na wala husikii Dunia inaendaje!mzungu anatoka wapi kinachowamaliza ni dhambi zilizomo ndani ya nafsi zenu acheni dhuluma..............na mtapata shwari ya milelel amina...........