Mjue Issa Michuzi

Status
Not open for further replies.
zaidi ya kubania comments zinazosema ukweli kuhusu viongozi wa serikali hana kosa lingine lolote ninaloona.mungu aendelee kumjaalia katika maisha yake labda siku moja atakuwa na nguvu zaidi ya kuwapa uhuru wa kutoa maoni wanablogu wake.

Mkuu Wenger hii siku haiwezi kuja kama jamaa napitisha tumbowazi mbele ya mafisadi, na ukumbuke mafisadi wanaogopa sana forum kama hizi kwahiyo inabidi tumkomalie Michuzi aache hii tabia ya kubania mawazo ya watu wenye uchungu na nchi yao bwana. Ala tuache kubembelezana wakati wa ukombozi wa kiuchumi, kifikra ndio huu ndugu zangu, tukiona mwenzetu haeleweki na tunamshauri hatusikii tunamuacha njia panda tu atajua mwenyewe apite wapi
 
Mkuu Wenger hii siku haiwezi kuja kama jamaa napitisha tumbowazi mbele ya mafisadi, na ukumbuke mafisadi wanaogopa sana forum kama hizi kwahiyo inabidi tumkomalie Michuzi aache hii tabia ya kubania mawazo ya watu wenye uchungu na nchi yao bwana. Ala tuache kubembelezana wakati wa ukombozi wa kiuchumi, kifikra ndio huu ndugu zangu, tukiona mwenzetu haeleweki na tunamshauri hatusikii tunamuacha njia panda tu atajua mwenyewe apite wapi

Mwenzenu Michuzi anafanya biashara japo hiyo blog sidhani kama inan-cost chochote. Camera na internet services vyote ni mali ya Daily News!

Ikiona kaandika sijui Libeneke la duka flani ujue kavuta si chini ya laki5. Mara Oh kiota kipya cha maraha Dar, hiyo yote ni advertsment anafanya na anavuta kwelikweli! Ila kwa madada wengi esp wenye maduka ya nguo anavuta in kind!
 
Huyu bwana ni kibaraka wa wakubwa na kwa ujumla ni mtu mwenye kujipendekeza kwa waheshmiwa na vigogo. Alishapigwa mkwara kabla kuwa aangalie watu wanachochangia kwenye blog yake au wataanza kumnyima safari za nje, akafyata.

Je safari za nje ni za maana zaidi kuliko maslahi ya taifa?

Hapa umepiga white house wala sio ikulu maana ikulu sio lazima iwe white house.
 
embu fikiria JF nayo wangekuwa wanabana comments kama mcihuzi
embu fikiria JF nayo ingeamua kuwabariki watawala wetu

inanishangaza sana mtu anapoangaika katika maisha yake na kufanikiwa, na anapopata nafasi badala ya kusaidia wale wanaohangaika yeye anasaidia wale wanaosababisha watu wahangaike...

Max Melo ndio role model wa kuigwa kwa watanzania....
 
Michuzi anasema kapewa "lifti" kwenye zimamoto, hana hata helmet, sijui kachoka kazi Daily News anatafuta kuumia apate kisingizio na mafao ya kuondoka mapema? Manake hata picha za gazeti la serikali anazichanganya na mtandao wake binafsi. Bosi wake nani huyu clown?

DSC_0131.JPG



DSC_0291.JPG
 
Mwenzenu Michuzi anafanya biashara japo hiyo blog sidhani kama inan-cost chochote. Camera na internet services vyote ni mali ya Daily News!

Ikiona kaandika sijui Libeneke la duka flani ujue kavuta si chini ya laki5. Mara Oh kiota kipya cha maraha Dar, hiyo yote ni advertsment anafanya na anavuta kwelikweli! Ila kwa madada wengi esp wenye maduka ya nguo anavuta in kind!

Mze kumbe una mbinu zote, si na wewe ungepiga bao kihivyo!!????

Acheni wivu wa kicheche!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nilishawahi kusikiliza hayo mahojiano yake. Michuzi ni mtupu, mwandishi mdosho.

Kwanza, hajui nini cha kusema au kutosema hadharani. ‘Niko dedicated kwenye Blog yangu kuliko kazi yangu Daily News.’ Kwa kauli hii, angekuwa nchi zenye uwajibikaji, bosi wake angemfukuza kazi. Huyu ni Mhariri Mkuu wa Daily News anasema hivi!

Pili, hajui Kiswahili hata kidogo. ‘Bahati mbaya ama nzuri nilikuwa na Mwalimu mmoja alinifundisha kupiga picha.’ Sasa, kwa nini bahati mbaya? Alipoulizwa aliingiaje kwenye ku-blog: “Namsifu au namlaumu ndugu Ndesanjo kwa kunitia moyo, kunisaidia kuingia kwenye ku-blog.’ Sasa kwa nini umlaumu? Pia, kasema ‘Daily News ina autononomy, sijui nisemeje Kiswahili.’ Kumbuka, huyu ni mwandishi wa habari, tena aliyeishi Magomeni, hawezi kujifanya anashindwa kutafsiri au kuelezea neno ‘mamlaka’ au ‘kujitegemea.’

Mwisho lakini sio mwisho kabisa, haelewi nini kinaendelea kisiasa. Alipoulizwa kuhusu ubora wa Kikwete, akaanza kummiminia sifa kama: ‘Kikwete ana mvuto, ni handsome boy.’ Lakini, Kikwete alisifika kwa ujana, sio uzuri wa sura. Na pia, mtu mzima hawezi kuwa ‘handsome boy’ kwa sababu sio boy. Labda angesema ana ‘baby face.’ Angekuwa hajajifanya hajui kujieleza kwa Kiswahili nisingemkosoa kwa sababu sio lugha yake. Akizidi kumsifu Handsome boy Kikwete, kasema huwezi kumshinda kwa wanawake. Tatizo la huyu Handsome boy ni kwamba anadhani matatizo ya nchi ni ‘Mungu kapanga.’

Mwisho kabisa, hata kwenye fani yake hiyo hiyo ya upiga picha anachemsha. Blog yake ina picha ambazo zinaorodhesha majina ya walioko kwenye picha bila kusema ni mtu ni wa kushoto au kulia.

Michuzi na Kikwete wote mdosho.

Mahojiano yake ni mazuri sana. Unapojibu maswali siyo lazima uwe serious, unaweza ukawa na staili yako na watu wakaelewa. Huyu jamaa ni mmoja wa Tanzanian Influence, ndiyo maana glob yake ina watu wengi sana. Mpe credit kwa kazi yake.
 
PUPPET!!,Ni ka ganga njaa,kanajifanya na kenyewe ni Usalama wa mafisadi, ooh sorry usalama wa Taifa.
 
....nashangaa mzee badala ya kujadili issue tuanahangaika na mpiga picha...anyway kama nimekukwaza na mcheza disco mwenzako wa enzi hizo

Ushi[/QUOTE]


Nanusa harufu ya dharau, kibri na majivuno!
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom