Mi nahisi kuna mtu kamuibia GT password.... Huyu siye yule GT wa siku zote
Huyu ndiye walitaka kumpa awe mpigapicha wa JK. What a load of crap he is. Alishaanza kujisifu ohhh wanataka kunipa cheo kikubwa kule IKULU kisha kaenda London akaanza kupiga mapicha kwenye dula la ma dildo
says alot about the man and where his priorities lie
maana huyu naona hata vetting ya siku nzima haikutakiwa
lakini ndio selebriti wetu huyo
Hicho cheusi alicho shika ni nini?
Kinatumika kwenye nini hicho mimi sioni vizuri.
Au ni kinyago sasa kanunua cha nini wakti huku bongo vipo kibao.
Mi nahisi kuna mtu kamuibia GT password.... Huyu siye yule GT wa siku zote
na kama ni gt kweli basi, shughuli ndo ishaanza hivyo!!!
hivi game theory alimpata nambua mlaki? Au amekula chakula gani jamani...
Kwetu mtu akiamka kama gt tunamuita kala mijusi
mtm
nambua amegain too much weight
so i am out
heshima mbele kaka... Lakini mbona leo umekua moto sana?!! Or is it geophysics and new world order??
Mi nahisi kuna mtu kamuibia GT password.... Huyu siye yule GT wa siku zote
Jminishi1
Huyo ndio Muhidini Issa Michuzi (Baba Mamuu),owner of PHOTO POINTS (kuna wengine humu wanachangia lkn hata kumjua hawamjui) zote za Bongo kwenye masehemu mazuri mfano pale Mlimani city,nakule mikocheni.
...he still made it better more than some of the current generation kids...he's smart and likable! He actually links the past generation to the current one! And being able to make it in a new gen. better than a new gen..he's then one of the kind! However..us together with him are also the victims of bad policies! Talking and broadcasting about sports was the only way to please the rulers!...and talking ABOUT POLITICS WAS DANGEROUS NOT ONLY FOR YOU BUT ALSO FOR THE FAMILYLI AFFAIRS! Mwalimu wanted citizens to just talk about Sports and not politcS! MITHUPU STILL MADE IT!f FOR ALL WHO SHARED THE PAIN WILL SUPPORT MITHUPU..AND FOR THE NEW GEN..THEY SHOULD KNOW MITHUPU FOR HIS CHARISMATIC! MICHUZI...IF YOU RUN FOR THE MEMBER OF PARLIAMENT..I SWEAR TO GOD THAT I WILL DROP EVERYTHING AND CAMPAIGN FOR YOU...YOU IS THE ROLE MODE AND PLS KEEP IT UP..AND WHY DONT KIKWETE CHOOSE YOU AS THE PARLIMENT MEMBER AND EVENTUALLY A MINISTER FOR SPORTS? THE ONLY DIFF WAS THAT MA DAD WA SIMBA AND I BECAME SIMBA AND YOU WAS YANGA..THAT I LIKE IT NOW DUE TO THE HISTORIC AND PATRIOTISIMS ISSUES!
....Mwisho kabisa, nadhani Watanzania lazima tujifunze tabia ya kuvumilia kukosolewa!