Safi sana, nipo Mbeya lazima nifanye kweliKwa yeyote anayehitaji kushonewa VAZI RASMI la CDM awasiliane na fundi mashuhuri wa kuyashona Magwanda ya CDM anapatikana TUNDUMA .Namba yake ya simu ni +255 754 649 025
Karibuni wote
Namwoma Mh. M/kiti wa cdm wa mkoa wetu Arusha au yeyote anayejua atumie hii thread kutuelekeza tunapoweza kuzipata sisi tuliopo hapa maana pale ofisini hazipatikani!
<br />Wewe usihangaike piga hiyo simu maelekezo yote atakupa wala hutapata shida.Just call <b><font size="4">+255 754 649 025</font></b><br />
<br />