Mjue Donald Trump

Mmmhh! Nimeanza aya ya pili kwa kusema: "Pili, si wazungu wote wabaguzi ......." Uliuona msitari huo? Hoja yangu ilikuwa kukanusha kwamba kuna watu weusi wachache kwa hivyo hawawezi kubadilisha mambo iwapo wazungu wanamtaka Trump.
Us ina 340,000,000 Idadi ya watu wake na ktk hyo 340 million watu weusi ni asilimia 30 tu hvyo jibu unalo mkuu
 
Trump ana mbagua nani? Mtu mweusi? Sasa kule ni Marekani ni nchi yao weupe.

Tukisema Trump hatashinda kisa ubaguzi, population ya US itatuumbua. Ratio Kati ya blacks na whites.

Watu wengi saivi dunia, nchi kibao zinaingia kwenye Neo-nationalism, ndio kutokea kwa brexit etc...kwa mfumo huo wa sasa, watu kuweka nchi zao mbele kwanza inatosha kuleta picha kuwa Trump atashinda tho media zinambana na kumwekea bad coverage ila box la kura halitadanganya.
Marekani wenyeji ni red Hindus kasome tena historia!
 
Kujisifu kote kumbe alirithishwa kampuni. Marekani hawana rais kwa staili hii
Kwani kurithishwa / kurithi kampunu ni tatizo?

Kujisifu kuna tatizo gani? Ni vibaya kurithi mali ya babake na perhabs anasimamia vizuri?
 
Hata kama alirithishwa lakini baada ya kurithishwa hizo Kampuni zilidhoofu au ziliimarika?
Achana na huyo...hao ndio wale ambao wanaponda watu wanaorithi mali za wazee wao while wanaziendeleza vizuri zaidi.

Yaani wanataka mtu ahustle tu ndio aonekane mjanja. Poor them
 
Najiuliza kwanini CNN pekee ndio wanetoa after debate results kuwa Clinton kashinda ila wengine wote wamempa Trump
 
Tukiweka ushabiki pembeni na akili za ajabu ajabu za wamarekani (maana unaweza kukuta wanamchagua), Trump hana sifa ya kuwa Rais wa Marekani. Hata wanasiasa wa kawaida tu hapa kwetu Tanzania wanaweza kumpita kwa mbali kung'amua lipi la kuzungumza na lipi la kuacha. Aaaaah! mama Clinton ana bahati kujipatia mteremko
Hazikosi kuwa akiri za lumumba hizi
 
Tukiweka ushabiki pembeni na akili za ajabu ajabu za wamarekani (maana unaweza kukuta wanamchagua), Trump hana sifa ya kuwa Rais wa Marekani. Hata wanasiasa wa kawaida tu hapa kwetu Tanzania wanaweza kumpita kwa mbali kung'amua lipi la kuzungumza na lipi la kuacha. Aaaaah! mama Clinton ana bahati kujipatia mteremko

Fikra zako zinasadifu za kwangu,yaani mule mule, nukta kwa nukta neno kwa neno.
 
800px-Donald_Trump_August_19%2C_2015_%28cropped%29.jpg


Donald Trump alizaliwa June 14, 1946, Mmarekani mfanyabiashara ambae sura yake si ngeni kwenye TV, pia ni mwanasiasa na mfanyabiashara.
Trump alizaliwa katika jiji la New York na alipata shahada yake ya uchumi mwaka 1968 kutoka Chuo Kikuu cha Pennyslavania. Akiwa mwanafunzi alifanya kazi kwenye kampuni ya baba yake iliyojihusisha na ujenzi, na mwaka 1971 alikabidhiwa hati miliki za kampuni hiyo.

Trump ni mtoto wa pili kutoka mwisho kuzaliwa katika watoto wanne wa Fred na Mary Tramp, wamebaki watoto watatu baada ya kaka yao mkubwa Fred Jnr. kufariki kutokana na matatatizo ya ulevi wa kupitiliza, hii ni sababu iliyomfanya Donald kujiepusha kabisa na matumizi ya pombe na sigara.

Kutokana na matatizo ya tabia Donald aliacha shule ya Kew-Forest School akiwa na umri wa miaka 13 na kujiunga na New York Military Academy ambako alimaliza darasa la nane na elimu ya masomo ya juu (High School). Baba yake alipowahi kuhojiwa, baba yake Trump akisema Trump alikuwa mtukutu sana akiwa mdogo.

Akiwa NYMA, Trump alicheza kwata, alivaa uniform na alifikia cheo cha Captain, mwenyewe aliwahi kumumelezea mwandishi wa habari zake kuwa, NYMA ilimpa mafunzo mengi ya kivita kuliko waliowahi kwenda vitani.
170px-Donald_Trump_NYMA.jpg

1964 Donald Trump akiwa New York Military Academy.
Ndiyo maana anapenda vita. Hajawahi kupigana baada ya kutoka chuoni sasa anataka kupata uzoefu kwa kuwapiga waislamu na waarabu? Akishinda uchaguzi Marekani itafilisika tu kwa kuwa ni mzoefu wa kufiliska kibiashara.
 
namkubali kinoma huyu jamaa coz sio muongo kama hilary
hilary hafai kuwa rais USA COZ ASHAFANYA USHENZ KIBAO MPAKA KUUA ENZI ANACHEO CHA UWAZIRI HAPO NYUMA
 
Trump ana mbagua nani? Mtu mweusi? Sasa kule ni Marekani ni nchi yao weupe.

Tukisema Trump hatashinda kisa ubaguzi, population ya US itatuumbua. Ratio Kati ya blacks na whites.

Watu wengi saivi dunia, nchi kibao zinaingia kwenye Neo-nationalism, ndio kutokea kwa brexit etc...kwa mfumo huo wa sasa, watu kuweka nchi zao mbele kwanza inatosha kuleta picha kuwa Trump atashinda tho media zinambana na kumwekea bad coverage ila box la kura halitadanganya.
sio mbaguz kama wanavvyofkiri
kwasababu hata huyu msanii WAKAZI... ashafanya kazi kwenye hotel ya donald trump na amewahi kumpelekea magazeti siku moja

ila hapendi hand shaking kwa mtu yeyote
 
Najiuliza kwanini CNN pekee ndio wanetoa after debate results kuwa Clinton kashinda ila wengine wote wamempa Trump

Wengine wote ni kina nani hao waliompa Trump ushindi katika mdahalo wao? hebu tutajie ili tufaidike na tuachane na taarifa za upendeleo za CNN.
 
ana sera za kidikteta na kibaguzi endapo atapewa urais atawanyosha sana wahamiaji ila sidhani kama atachaguliwa kutokana na ubaguzi na misimamo yake kupingwa na wengi
 
Najiuliza kwanini CNN pekee ndio wanetoa after debate results kuwa Clinton kashinda ila wengine wote wamempa Trump
Ile ni Clinton News Network (CNN) Trump alishawaambia if you want to stay young and handsome never watch CNN, and cha pili tuwe wadadisi kidogo jamani reporters was CNN 90% wamedeclare kumuunga mkono clinton! Na sio leo au jana bali toka kitambo wapo na mama Hillary.
 
Back
Top Bottom