Huyu bwana ni mmoja kati ya watu waliodaiwa wamekwiba kwenye mabenki ya kwao aliwahi kukimbiia Uingereza kilipoumana huko kwao ,hata hapa bongo ana ofisi ana kampuni yake ,pia huenda ndie atakayejenga kiwanda cha sementi huko Lindi,nafikiri mnakumbuka ule ugomvi wa Membe na Mdhihiri a,k,a joka la mdimu
Mmmh...sina uhakika sana na wizi...ninachojua ni mtu aliyeanza biashara kitambo sana...na kwa kule Northern Nigeria,jamaa ni kama Azam,kuanzia maji ya kunywa hadi juice ni dangote tupu....ninachokijua mimi,huyu jamaa ni katika wakopaji wakubwa kabisa wa UNITED BANK FOR AFRICA(UBA)...Na sio kusikia,jamaa atashusha kiwanda cha cement pale mtwara.....yuko vizuri though sijui kama ni Alhaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.