klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Shantel!Nakushauri usimuulize huyo mjomba , maana mtafaruku utakaoibuka utakuwa mkubwa sana. mshukuru Mungu mkeo kakwambia kwa hiyo
hakuna baya lolote litakalotokea
Kama huyu kaka ana ushahidi na atamuapproach mjomba kistaarabu sidhani kama kutakuwa na mtafaruku na hata kama ukitokea basi utakuwa ni for the better! Pia hii itatoa mwanya ili na upande wa pili wa mashtaka usikike, unajua so far ameskilikana mwanamke tu! na usishangae pengine hili swaga lote mwanzilishi ni huyo mwanamke. Wanawake tunaambiwa ni mazaifu lakini kwenye mpango wa kutubambikia kesi wako strong kweli aisee!