Mjomba ndiye aliyenitoa bikira yangu!

...Sasa hapa tunatoa mawazo tumsaidie nani? Pape mwenyewe amenukuu!!

Anyway, next time kwa yeyote anayehusika na anayependa kulinda utu wake, aepuke kuwa katika mazingira kama hayo... yani mpo wapweke ndani wawili tu, mlango umefungwa, jinsia ya kike na Kiume, afu mnaangalia Movie, then mnakata wine...
 
Paka jimmy katika siku ambazo umenifurahisha ni leo, yaani sina la kuongeza kama bikira imeshatoka imetoka tu, na inaonekana binti analipa ndo maana kaolewa naomba nimpongeze kwa hilo, bibiye huna sababu ya kurudia mawazo ya zamani, usiwe na mitazamo ya katika tamthilia ambayo wazungu wanajidai kwamba eti mtu akiingiliwa kwa nguvu hawezi kusahau tukio hilo na anaathirika kisaikolojia, after all wewe hujabakwa ila anko alitumia ujanja wa kukulewesha kidogo ndo maana akaweza kufanya kitendo hicho, nakuomba achana na mawazo ya ki-tamthilia.
Thibitisha basi kwa kubonya kitufe kule kunako!
 
Nanukuu...

Mimi ni msichana (mwanamke) ambaye nimelelewa katika mazingira ya kimaadili na ya kiucha Mungu. Nimevumilia sana kwa miaka mingi lakini sasa naona ninazidi kuchanganyikiwa kiasi cha kutaka kuchukua uamuzi usiofaa!

Miaka ya mwanzoni mwa 1990's tulikuwa tunaishi na mjomba wangu ambaye alinizidi miaka 11. Mimi ni mtoto wa kike wa pekee pia nina mdogo wangu wa kiume. Wazazi wetu sio watu wa kukaa sana nyumbani kwani mara kwa mara walikuwa wanasafiri kwenda ng'ambo kikazi.

Kuna siku moja wakati tumebaki mimi na mjomba wangu hapo nyumbani aliweka muvi ya titanic na tukawa tunaangalia pamoja! Muda kupita alileta vinywaji na tukanywa! Baada ya muda mfupi nikaanza kujisikia kizunguzungu na alianza kunishikashika na kwakuwa nilikuwa sina nguvu alinibeba na kunipeleka chumbani kwake!

Nilikuwa sijiwezi hata kupiga kelele na alifanya kila kitu kisha kunipa Tshs 5000 na kuniambia nisiseme kwa mtu! Baada ya muda nilisikia maumivu sana na niliona aibu kuingiliwa kinyume na mjomba wangu!

Nilitaka kumwambia mdogo wangu lakini niliona aibu. Nilitaka kumwambia mama pia niliona aibu kwani aliyenifanyia ni mdogo wake!

Roho iliniuma sana kwani yeye (mjomba) ndiye aliyenitoa BIKIRA...

Nimevumilia lakini kila nimuonapo nakuwa sina amani na hata kuna wakati nilifikiria suala la kutaka kumuwekea sumu katika chakula ili afe!

Hii hali bado inanitesa sana moyoni kwani hata wazazi wangu hawajui kitu chochote!

Kwasasa nimeolewa na sina amani na ndoa yangu kwani nahisi kama mjomba wangu alinifanyia unyama wa kutisha! Nashawishika kumweleza mume wangu lakini ninaogopa kuharibu ndoa yangu. Sijui mume wangu akijua atanichukuliaje! Wazazi wangu nao wakijua watanichukuliaje?

Ndugu wasomaji hali ndiyo kama hiyo, naomba mnisaidie mawazo yenu je niweke mambo wazi? Je, nitaificha vipi aibu yangu? Je, jamii itanielewa?

Kila siku hali inakuwa ni mbaya kwani nakosa raha na nasikitika kusema kwamba kila mara niwazapo juu ya suala hili huwa ninapata jibu moja tu: kujiua!

Naomba mchango wenu kimawazo!

Jamani mimi sijaelewa. Mbona anazungumizia mambo ya kinyume? Ni bikira ipi tunayojadili hapa?
 
Nimesoma hadithi yako kwa makini sana,hilo ni tatizo dogo sana dada yangu unahitaji msaada wa kiroho ili uweze kusamehe na kusahau yote yaliyotokea,jitahidi uwaone viongozi wa dini maana Yesu anatufundisha kusamehe na kusahau ili na sisi tupate kusamehewa,hudhuria ibada katika kanisa lolote linalohubiri habari njema za wokovu wa Yesu kristo waone watumishi wa Mungu waeleze tatizo lako baada ya kufanyiwa maombezi tatizo lako litafikia mwisho na utashangaa Mungu alivyo wa ajabu.USIJIUE,kama utahitaji maelekezo zaidi wasiliana nami kwa akamanyusi@yahoo.co.uk
 
...Sasa hapa tunatoa mawazo tumsaidie nani? Pape mwenyewe amenukuu!!

Anyway, next time kwa yeyote anayehusika na anayependa kulinda utu wake, aepuke kuwa katika mazingira kama hayo... yani mpo wapweke ndani wawili tu, mlango umefungwa, jinsia ya kike na Kiume, afu mnaangalia Movie, then mnakata wine...

Labda Pape ata-copy na ku-paste kwa musika. La sivyo tunatwanga maji kwenye kinu!
 
Bora ajiue tu ili atupishe..........! Wote hao tuliwabikiri wakiwa na mawazo ya kutuwekea sumu....mbona tutakwisha....!
 
acha kuishi kwa kumbu kumbu hiyo ni mbaya, imeandikwa samehe na kusahau sasa we vipi au maana ungekuwa Muislamu bado Mungu mpenda amani anakuhusu, fuata maagizo yake tu utakuwa mtu mbaya sana katika maisha yako ukiishi kwa kumbukumbu za zamani maana huwa hazisaidii katika maisha. Ama kawaone washauri nasaha wakusaie, au nitafute kwa nomber hii +971559301359 nikusaidie zaidi
 
Mi naona bora ulifanyie kazi hilo wazo lako la kujiua,wapenda ndoa wachukue nafasi yako!!
 
Nanukuu...

Mimi ni msichana (mwanamke) ambaye nimelelewa katika mazingira ya kimaadili na ya kiucha Mungu. Nimevumilia sana kwa miaka mingi lakini sasa naona ninazidi kuchanganyikiwa kiasi cha kutaka kuchukua uamuzi usiofaa!

Miaka ya mwanzoni mwa 1990's tulikuwa tunaishi na mjomba wangu ambaye alinizidi miaka 11. Mimi ni mtoto wa kike wa pekee pia nina mdogo wangu wa kiume. Wazazi wetu sio watu wa kukaa sana nyumbani kwani mara kwa mara walikuwa wanasafiri kwenda ng'ambo kikazi.

Kuna siku moja wakati tumebaki mimi na mjomba wangu hapo nyumbani aliweka muvi ya titanic na tukawa tunaangalia pamoja! Muda kupita alileta vinywaji na tukanywa! Baada ya muda mfupi nikaanza kujisikia kizunguzungu na alianza kunishikashika na kwakuwa nilikuwa sina nguvu alinibeba na kunipeleka chumbani kwake!

Nilikuwa sijiwezi hata kupiga kelele na alifanya kila kitu kisha kunipa Tshs 5000 na kuniambia nisiseme kwa mtu! Baada ya muda nilisikia maumivu sana na niliona aibu kuingiliwa kinyume na mjomba wangu!

Nilitaka kumwambia mdogo wangu lakini niliona aibu. Nilitaka kumwambia mama pia niliona aibu kwani aliyenifanyia ni mdogo wake!

Roho iliniuma sana kwani yeye (mjomba) ndiye aliyenitoa BIKIRA...

Nimevumilia lakini kila nimuonapo nakuwa sina amani na hata kuna wakati nilifikiria suala la kutaka kumuwekea sumu katika chakula ili afe!

Hii hali bado inanitesa sana moyoni kwani hata wazazi wangu hawajui kitu chochote!

Kwasasa nimeolewa na sina amani na ndoa yangu kwani nahisi kama mjomba wangu alinifanyia unyama wa kutisha! Nashawishika kumweleza mume wangu lakini ninaogopa kuharibu ndoa yangu. Sijui mume wangu akijua atanichukuliaje! Wazazi wangu nao wakijua watanichukuliaje?

Ndugu wasomaji hali ndiyo kama hiyo, naomba mnisaidie mawazo yenu je niweke mambo wazi? Je, nitaificha vipi aibu yangu? Je, jamii itanielewa?

Kila siku hali inakuwa ni mbaya kwani nakosa raha na nasikitika kusema kwamba kila mara niwazapo juu ya suala hili huwa ninapata jibu moja tu: kujiua!

Naomba mchango wenu kimawazo!

Wanawake au niseme wasichana wengi huwa wanapata matatizo kama yake siku hizi kwa mambo kama hayo ya kuangalia TV na kunywa pombe na mwanaume aliyekamilika peke yake tu ndani ya nyumba. Kosa ni lake hakujua kwamba picha za mapenzi na pombe huwa kinachofuata ni kitendo chenyewe baada ya mashetani ya ngono kumpanda mtu.
Anachoweza kufanya kwa sasa ni kumueleza tu huyo mjomba wake kwamba alikosea sana kumfanyia kitendo hicho ili wasameheane kama mjomba atakuwa na busara za kuomba msamaha. Zaidi ya hapo hakuna zaidi ya fujo za kushtakiana na kesi kufanyika na mjomba kukataa na kushinda kesi kwa sababu kwa mazingira anayoyaeleza hana shahidi aliyemueleza au kumuonyesha alivyoumizwa sehemu zake.
Nawaasa wazazi kutowaacha watoto wao wa kike kukaa na minjemba kuangalia TV na movie wakati hawapo ni hatari sana.
 
Kubikiriwa ni kubikiriwa tu, isitoshe wanawake wote wanabikiriwa katika mazingira ya kiaina aina tu. Endelea na maisha yako achana na mawazo ya kishetani.
 
Moving on is a process moving forwad is a choice,moving on is letting things happen while moving forwad is making things happen!!Let it go, coz what done is done huwezi rudisha hiyo bikra
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom