Mtambuzi Platinum Member Oct 29, 2008 8,806 15,379 May 22, 2012 #1 Ni mjasiriamali aliyetukuka, anapatikana jijini DAR.................! Attachments Mr. Massawe.JPG 438.7 KB · Views: 975
mwenyenchi JF-Expert Member Nov 10, 2011 658 184 May 22, 2012 #2 Bwashee bwana, sijaja mjini kushangaa magorofa ati..
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,122 534 May 22, 2012 #3 Hapo kilicho miss ni bench la shoe shine.
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,216 May 22, 2012 #4 Mtambuzi said: Ni mjasiriamali aliyetukuka, anapatikana jijini DAR.................! Click to expand... Mmmmmmmhh! Massawe!!
Mtambuzi said: Ni mjasiriamali aliyetukuka, anapatikana jijini DAR.................! Click to expand... Mmmmmmmhh! Massawe!!
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,585 5,757 May 22, 2012 #5 Hongera zake, lazima tuwe na uchungu wa shilingi kama wachaga.
gfsonwin JF-Expert Member Apr 12, 2012 18,274 20,670 May 24, 2012 #7 hawa watu bwana kweli hawakuja kusuka shanga mjini. Ukimkuta anayefuga kwake kuna kila aina ya mfugo na duka la bidhaa juu..............
hawa watu bwana kweli hawakuja kusuka shanga mjini. Ukimkuta anayefuga kwake kuna kila aina ya mfugo na duka la bidhaa juu..............
Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,881 1,124 May 24, 2012 #8 kubip mia na hamsini. jamaa ametumwa arudi na prado desember.
Mtambuzi Platinum Member Oct 29, 2008 8,806 15,379 May 24, 2012 Thread starter #9 tz1 said: Hapo kilicho miss ni bench la shoe shine. Click to expand... Benchi lipo mkuu................
tz1 said: Hapo kilicho miss ni bench la shoe shine. Click to expand... Benchi lipo mkuu................
sister JF-Expert Member Nov 23, 2011 9,014 6,846 May 24, 2012 #10 hiyo ndo raha ya wachaga hawachagui kazi as long as wanapata chochote.
M Mr Rocky JF-Expert Member Oct 10, 2007 15,178 14,349 May 24, 2012 #11 Kweli Masssawe yuko juu hajaja mjini kuuza sura
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 May 24, 2012 #13 Duh! Mpaka huduma ya KuBeep jamaa anatoa?
Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,045 May 24, 2012 #14 Haaahaaa...mmeanza kuchokoza watu sasa...
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,835 630 May 24, 2012 #15 Akianza kuburuza vogue utasikia jamaa alikuwa mwizi haiwezekani kapata wapi hela kumbe kakomaa hata lunch haijui!!!!
Akianza kuburuza vogue utasikia jamaa alikuwa mwizi haiwezekani kapata wapi hela kumbe kakomaa hata lunch haijui!!!!
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,270 16,286 May 25, 2012 #16 na yeye si anadaiwa hela akichaji sim ni haki yake bwwana Ndallo said: Duh! Mpaka huduma ya KuBeep jamaa anatoa? Click to expand...
na yeye si anadaiwa hela akichaji sim ni haki yake bwwana Ndallo said: Duh! Mpaka huduma ya KuBeep jamaa anatoa? Click to expand...