Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Chanzo: Taarifa ya Habari ya ITV saa mbili usiku.
Wazee mmesikia hiyo? Inakuwaje mji ukose umeme kwa muda mrefu kiasi hicho!! Hiyo siyo hujuma jamani??? Wazee, si mnakumbuka jinsi wakazi wa Tunduma walivyokataa kuongozwa na mafisadi kupitia kwenye sanduku la kura??
Wazee mmesikia hiyo? Inakuwaje mji ukose umeme kwa muda mrefu kiasi hicho!! Hiyo siyo hujuma jamani??? Wazee, si mnakumbuka jinsi wakazi wa Tunduma walivyokataa kuongozwa na mafisadi kupitia kwenye sanduku la kura??