Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Wanajamii, mji wa Kigoma upo gizani wiki sasa. Hatujui nini tatizo na Tanesco wapo kimya tofauti na mikoa mingine ambapo huwa wanatoa taarifa ya kutokuwepo kwa umeme. Hali ni mbaya. Usalama kwa sasa ni duni. Hospitali pia ipo gizani. Kambi za jeshi 24KJ, RADAR, kituo kikuu cha polisi, gereza la Bangwe, bandari, TBC vyote vipo gizani. Tutafika kweli?