Mji mpya wa biashara

Najua hapo watu wameghafilika na kumtaja Allah mwenye kuleta hizo neema.Ngoja nije niwajengee msikiti mzuri wa kufanyia ibada.Pindi akitokea yoyote akaweka vikwazo subirini ukame na mito yote kukauka.

Mkuu misikiti ipo mitatu pale na ni mikubwa,
Kama una mihela peleka shule, au hospital au Benki ya Amana ( ili wakulima wakope bila riba). Kwa imani yako huduma zingine utapata mtihani wa imani kwa mola wako.
 
Well said Malila, ajenge second islamic university ili idadi iongezeke.
Mkuu misikiti ipo mitatu pale na ni mikubwa,
Kama una mihela peleka shule, au hospital au Benki ya Amana ( ili wakulima wakope bila riba). Kwa imani yako huduma zingine utapata mtihani wa imani kwa mola wako.
 
Well said Malila, ajenge second islamic university ili idadi iongezeke.
Mimi nina visenti tu vya kutosheleza kujenga huo msikiti.Ujenzi wa university lazima ruzuku ipatikane kutoka hazina kama hiyo inayokwenda makanisani.Ikiwa bado akina Kikwete hawawezi kufanya hivyo kwa kumuogopa Pengo basi akitokea Bakhresa na Sabodo wakajenga mimi naahidi kujenga huo msikiti ndani ya hiyo university.
Jengine hebu angalieni vizuri, mbona misikiti mitatu ni kidogo sana au wengi wenu mnakunywa bia za MALTA tu badala kuingia misikitini?.
 
Mimi nina visenti tu vya kutosheleza kujenga huo msikiti.Ujenzi wa university lazima ruzuku ipatikane kutoka hazina kama hiyo inayokwenda makanisani.Ikiwa bado akina Kikwete hawawezi kufanya hivyo kwa kumuogopa Pengo basi akitokea Bakhresa na Sabodo wakajenga mimi naahidi kujenga huo msikiti ndani ya hiyo university.
Jengine hebu angalieni vizuri, mbona misikiti mitatu ni kidogo sana au wengi wenu mnakunywa bia za MALTA tu badala kuingia misikitini?.

Hiyo mitatu iliyopo ni mingi sana ukilinganisha na idadi ya watu, ukumbuke pia kuna wakazi wengine wana imani zao, halafu asilimia zaidi ya hamsini ya watu wa hapo hawana dini. Kwa ufupi idadi ya watu pale haiwezi kuwa stable kwa sababu watu wanakwenda kufanya biashara na kuondoka.
 
Kwa jinsi mazingira yalivyokaa sijawahi kuskia mafuriko katika KIJIJI HICHO, drainage ni nzuri sana, mm ntaenda kuchukua kiwanja karibu kabisa na mto!

Unataka kuiga biashara ya crocodile camp site !!!!!!! Sasa umechagua mto upi pale, Ruaha au Lukosi?
 
Nikipita january nitapiga picha nikutumie ni kamji kapya kenye fursa nyingi. Kumbuka kapo ktk highway ya kwenda zambia,Malawi,Congo na kwingineko.


poa mkuu utani pm ikishapiga hizo picha
 
pole ndugu waarabu wamesha wahi tayari msikiti upo labda ujenge night club itakuwa poa
 
Ahsante sana kwa hizi habari njema kabisa, watu wengi JF kazi yao kulalamika, kususa na kushadidia maandamano. Haya andamaneni kwenye fursa hizo.

we kijana wa nape vipi? umeanza mauchokozi yako eeh? unataka watu tuanze kutoka povu sasahivi?
 
kalibu ruaha mbuyuni
 

Attachments

  • DSC02344.JPG
    DSC02344.JPG
    636.8 KB · Views: 107
ongezo... kna biashara sssana ya kitunguu toka vjiji vya mgogozi... kilimo ya umwagiliaji na mjapani kalaza miundombinu... ndani zaidi kuna mapande ya kuchimba Zinc na chuma.... elekezeni nguvu huko...
 
mkuu asante sana kwa taarifa njema,, mahala pazuri sana pale,, mi nishafika mpaka kule ndani MALOLO, WAZAGANZA, KIFIRA, CHEYU, ni kama 20 km kutokana hapo darajani,, kuna kilimo kizuri sana cha umwagiliaji wa vitunguu.. na infwakt vipo so cheap.. nina uhakika huo mradi wa umeme toka ilula utakapokamilika utafungua mianya ya biashara kwa upana zaidi..ngoja nizame chimbo kusaka capital nianze kuleta vitunguu dsm
 
mkuu asante sana kwa taarifa njema,, mahala pazuri sana pale,, mi nishafika mpaka kule ndani MALOLO, WAZAGANZA, KIFIRA, CHEYU, ni kama 20 km kutokana hapo darajani,, kuna kilimo kizuri sana cha umwagiliaji wa vitunguu.. na infwakt vipo so cheap.. nina uhakika huo mradi wa umeme toka ilula utakapokamilika utafungua mianya ya biashara kwa upana zaidi..ngoja nizame chimbo kusaka capital nianze kuleta vitunguu dsm

Umeme ushafika tayari mpaka huko porini, wewe tu na pesa zako. Halafu Ruaha ya huku Morogoro jamaa kaanza kihotel fulani njiani mkono wa kulia kama unakwenda Iringa, anakula vichwa vya malori, ndo tayari kijiwe kinachanganya. Halafu kushoto wapo Crocodile camp, utawataka ubaya.
 
ngoja nishuke hapo dizaini fulani week mbili zijazo nahisi nitakuwa nakasafari ka kwenda iringa,,, nadhani nitadrop kufanya exploration kidogo.. Malila
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom