lutayega
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 1,288
- 552
mjengwa ndo mdudu gani jamani? au ndo yule mtu wanamwita mwanakijiji? ye ni nani,
ni mwandishi wa habari na makala ktk gazeti la raiamwema ambaye mwaka2010 alinunuliwa na ccm kumpigia debe jk na sasa amenunuliwa na jeshi la polis kulipigia debe ktk kampen ya jeshi hilo ya kuua wandishi wa habari na raia wasio na hatia