Nimetazama mwenendo mzima wa kura zinavyoendelea kwenye blog hii na kuona leo asubuhi jinsi ambavyo blog hii inavyojaribu kumpigia kampeni dewji na january makamba kwa namna ambayo mtu makini ataona hiyo sanaa mbaya lakini tujiulize ni mtu mwenye mvuto kwa aina gani ya classna pia ni watanzania wangapi wanaweza kupiga kura kwa mtandao wa komputya huu ni usanii na usipoangaliwa vizuri utakuwa ni mkakati wa mbunge mmoja kijana anayetaka madaraka makubwa ya chama chake kwa kutumia magamba