Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Huyu jamaa ameopa kweli mbona amekaa kiubwete ubwete na kinahii kinahii sana...
Huyu jamaa ameopa kweli mbona amekaa kiubwete ubwete na kinahii kinahii sana...
waungwana salamu sanaaa sana,mi niko nje ya topic,huyo jamaa mwenye kanzu huko nyuma ya mjengwa naona yuko bize anajishughulisha??mi siwaamini hawa wavaa kanzu:.
Anatafuta huruma ya wasomaji wa blog yake!
mm nitaaanzisha sasa hivi mwanakijiji akiua,
mbona siku hizi tunaelekea siko
na mamoderator hawachukui hatua hadi tutoane ngeu
haya yanakidhalilisha kibaraza chetu
Majidd acha kutafuta umaarufu usiokuwepo,wewe ni mmoja kati ya wale vibaraka wapya wa mafisadi jitahidi unaweza hama ipogoro ukaenda wilolesi kwa kuendekeza tamaa.Unatia aibu jamii ya WANYALU mwanamme usibadilikebadilike dada zako hatutakuelewa.
Mwanahabari gwiji kwa njia ya blog Tanzani Mr Maggid Mjengwa amewatolea uvivu wanachadema waliojazana JF kwa tabia yao ya kushambulia kwa ushabiki na kejeli bila kufikiri wala kujadili mambo kwa hoja na logic...............BIG UP MJENGWA
Mwanahabari gwiji kwa njia ya blog Tanzani Mr Maggid Mjengwa amewatolea uvivu wanachadema waliojazana JF kwa tabia yao ya kushambulia kwa ushabiki na kejeli bila kufikiri wala kujadili mambo kwa hoja na logic...............BIG UP MJENGWA
mwanahabari gwiji kwa njia ya blog tanzani mr maggid mjengwa amewatolea uvivu wanachadema waliojazana jf kwa tabia yao ya kushambulia kwa ushabiki na kejeli bila kufikiri wala kujadili mambo kwa hoja na logic...............big up mjengwa