Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Ninaomba kujuzwa.
Ninaomba kujuzwa.
ni mbunge wa arusha mjini kupitia CHADEMA, mheshimiwa GODLESS JONATHAN LEMA
how much sure are u?
nilipata habari kutoka kwenye gazeti la raia mwema, the following day afta huyu mheshimiwa kuongea hivyo.. Halafu pia hiyo kauli ilishajadiliwa humu pia, na wwatu waliokua mjengoni wenyewe walituhabarisha kuwa ni lema,,,
Ninaomba kujuzwa.
ujue bunge letu jinsi lilivyojaa mambumbumbu mkono lazima upigwa ili kuleta heshma na umakini kwa baadhi ya mazuzu hasa fr ccm
Hii kauli imeshatolewa na wabunge wawili tofauti Lema na Lusinde, funny enough ya mmoja (CDM) inaonekana uhuni, na ya yule tena aliyeitamka akiwa amesimama ilionekana ni ujasiri