CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
UHUSIANOKATI YA BIASHARA NA FAMILIA
Biasharainatunzwa na Mfanya biashara na kuzalisha mapato. Katika mapato hayo mfanyabiashara anajilipa mshahara kutokana na kupata faida. Mshahara anao jilipa ndounatumika kwa matumizi binafisi ikiwemo kutunza familia. Katika hili ni vyemafedha ya Biashara na ya familia itengwe ili kuepuka mwingiliano wa matumizi. Ilbiashara iweze kukua vizuri ni lazimamfanya biashara aelewe namna ya kutenga fedha ya biashara na ya familia
KUTENGANISHA BIASHARANA FAMILIA
Biasharaina nafasi kisheria kama binadamu, na inalindwa na sheria na ndiyo maanainapewa jina na kusajiliwa. Kwa kua biashara na mwenye biashara ni vitu viwilitofauti na matumizi yao ni tofauti pia. Kwa hiyo fedha ya biashara ni yabiashara na ya familia ni ya familia, vitu hivi viwili havichangwanywi.
NJIA ZAKUBADILISHA FAMILIA IWEZE KUISAIDIA BIASHARA KUIMARIKA NA KUKUA
1. Elimishafamila yako maana na umuhimu wa biashara yako katika kuendeleza familia hiyo.Biashara ndiyo inayo itunza familia . Ili biashara iweze kuitunza familia nilazima itunzwe vizuri. Mfano Jinsi ng'ombe anavyo tunzwa vizuri ndivyo anavyotoa maziwa mengi. Yale maziwa yanauzwa na kulipa ada za shule na kazalika.
2. Wape elimu yabiashara ili wakusaidie kusimamia biashara yako
3 Usiajiri wanafamilaambao c waaminifu
4. Washirikishe wana familiakatika kuzalisha na si katika matumizi tu
5. Kuwa muwazi namkweli kwa familia yako kuhusu kipato halali kinachopatikana kwenye biasharayako
ATHARI ZAKUENDEKEZA UNDUGU, UJIRANI, URAFIKI KATIKA BIASHARA
1 Uzoefuunaonyesha kwamba ndugu na marafiki wakikopa hawarudishi, Na wakijua kuwa weweni rahisi kutoa misaada basi kuomba hakuishi na matokeo yake ni.
- Kujenga uadui wakati unapo kuwa huwezikuwasaidia
- Kudhoofisha biasharayako kwa kutoa misaada mingi sana
- Kuathiri maendeleo yafamilia yako
- Kushindwa kulipamikopo uliyo chukua
- Kufilisika
NJIA ZAKUELIMISHA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI
1.Waelimishe wasaidie biashara yako kukua vizuri badala ya kuiharibu
2. Unaweza kuwaelimishakwa kuongea nao wewe mwenyewe ana kwa ana
3. Unaweza tumia mtaalaau mtu mwingine atakaye weza kuwaelimisha vizuri
Biasharainatunzwa na Mfanya biashara na kuzalisha mapato. Katika mapato hayo mfanyabiashara anajilipa mshahara kutokana na kupata faida. Mshahara anao jilipa ndounatumika kwa matumizi binafisi ikiwemo kutunza familia. Katika hili ni vyemafedha ya Biashara na ya familia itengwe ili kuepuka mwingiliano wa matumizi. Ilbiashara iweze kukua vizuri ni lazimamfanya biashara aelewe namna ya kutenga fedha ya biashara na ya familia
KUTENGANISHA BIASHARANA FAMILIA
Biasharaina nafasi kisheria kama binadamu, na inalindwa na sheria na ndiyo maanainapewa jina na kusajiliwa. Kwa kua biashara na mwenye biashara ni vitu viwilitofauti na matumizi yao ni tofauti pia. Kwa hiyo fedha ya biashara ni yabiashara na ya familia ni ya familia, vitu hivi viwili havichangwanywi.
NJIA ZAKUBADILISHA FAMILIA IWEZE KUISAIDIA BIASHARA KUIMARIKA NA KUKUA
1. Elimishafamila yako maana na umuhimu wa biashara yako katika kuendeleza familia hiyo.Biashara ndiyo inayo itunza familia . Ili biashara iweze kuitunza familia nilazima itunzwe vizuri. Mfano Jinsi ng'ombe anavyo tunzwa vizuri ndivyo anavyotoa maziwa mengi. Yale maziwa yanauzwa na kulipa ada za shule na kazalika.
2. Wape elimu yabiashara ili wakusaidie kusimamia biashara yako
3 Usiajiri wanafamilaambao c waaminifu
4. Washirikishe wana familiakatika kuzalisha na si katika matumizi tu
5. Kuwa muwazi namkweli kwa familia yako kuhusu kipato halali kinachopatikana kwenye biasharayako
ATHARI ZAKUENDEKEZA UNDUGU, UJIRANI, URAFIKI KATIKA BIASHARA
1 Uzoefuunaonyesha kwamba ndugu na marafiki wakikopa hawarudishi, Na wakijua kuwa weweni rahisi kutoa misaada basi kuomba hakuishi na matokeo yake ni.
- Kujenga uadui wakati unapo kuwa huwezikuwasaidia
- Kudhoofisha biasharayako kwa kutoa misaada mingi sana
- Kuathiri maendeleo yafamilia yako
- Kushindwa kulipamikopo uliyo chukua
- Kufilisika
NJIA ZAKUELIMISHA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI
1.Waelimishe wasaidie biashara yako kukua vizuri badala ya kuiharibu
2. Unaweza kuwaelimishakwa kuongea nao wewe mwenyewe ana kwa ana
3. Unaweza tumia mtaalaau mtu mwingine atakaye weza kuwaelimisha vizuri