Kitumbo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 549
- 185
Wana JF hebu mnisaidie hapa, naona mara nyingi vyombo vya habari vinawataja wafanyabiashara wote kuwa ni wajasiri amali hata wale machinga wanaopanga bidhaa zao barabarani.
Hivi ni kweli kuwa mjasiri amali ni mtu yeyote anayefanya biashara hata kama ni umachinga wa kufukuzana na mgambo wa jiji?
Hivi ni kweli kuwa mjasiri amali ni mtu yeyote anayefanya biashara hata kama ni umachinga wa kufukuzana na mgambo wa jiji?