Mjane...

Najaribu kui picture scenario ambapo mke anafariki halafu mume bila kukawia anamuoa shoga-besti wa marehemu... lazima kina mama waje juu!

Mbona hizo ziko common sana, na wakati mwingine Mzee anaweza akawa anam-mega best wa mkewe huku akiwa hai.

Kwa shoga ni mbali, wako ambao huamua kuchukua kabisa mdogo wa marehemu ili atunze watoto wa marehemu dada yake. Je, hapo inakuwaje?
 
Ni mapokeo ya mfumo dume ....

Ulishawahi kusikia mke kafa halafu kukawa na mgogoro wa mirathi? Hata kama bread winner wa familia alikuwa ni Mama, huwezi kusikia kuna kasheshe ya kugawana mali ama ndugu wa mke wakija kudai kwamba mali iliyopo ni jasho ya ndugu yao.


Nimeona kesi kubwa mbili...ilikua patashika!
 
Nimeona kesi kubwa mbili...ilikua patashika!

unaweza kutumegea hukumu zake zilikuwaje?

pamoja na hayo cases kama hizo ziko rare, haziko common kama za ndugu wa mume kutaka mgao wa mali ama kumfukuza kabisa mke ili wachukue mali zote.
 
Naomba kuuliza kitu......
Inakuwaje mnafikiria kuwa mwanaume tu ndio anaacha mali? au kwamba mwanaume akifa basi assumption ni kuwa mali iliyopo ilikuwa yake.Hamjui kuna wanawake wana mali zao?

kama mwenzetu alivyosema hapo juu..ni mapokeo ya mfumo dume. Unakuta mama akitangulia mali inakuwa ya baba automatically kwahiyo ile vita inakuwa ndogo [labad kwa few]; lakini akifa mwanaume utakuta kila mtu anataka chake.

kibaya zaidi hata tukiwa hai, mke akinunua mali, bado utakuta anayepewa pongezi ni baba kuliko mama
 
...mambo haya ndio maana kuna wengine kabla hawajafa wanawaeleza washkaji; " 'UKIMWI' ndio unaniua jamani, muogopeni shemeji yenu, ndiye kaniletea! " ...wivu mpaka kaburini! :D
 
akifa baba watoto itaniuma sana na nita mmiss.......lakini sitokaa sana, akitokea mume naolewa.
kwa sababu sitaki watoto wakae bila a father figure katika maisha yao.....
msema kweli kipenzi cha mungu, siwezi kulea watoto peke yangu ( na hapa simaanishi kuhusiana na fedha, uwezo wa kifedha nnao wa kutosha)
 
akifa baba watoto itaniuma sana na nita mmiss.......lakini sitokaa sana, akitokea mume naolewa.
kwa sababu sitaki watoto wakae bila a father figure katika maisha yao.....
msema kweli kipenzi cha mungu, siwezi kulea watoto peke yangu ( na hapa simaanishi kuhusiana na fedha, uwezo wa kifedha nnao wa kutosha)

mweh !!
 
akifa baba watoto itaniuma sana na nita mmiss.......lakini sitokaa sana, akitokea mume naolewa.
kwa sababu sitaki watoto wakae bila a father figure katika maisha yao.....
msema kweli kipenzi cha mungu, siwezi kulea watoto peke yangu ( na hapa simaanishi kuhusiana na fedha, uwezo wa kifedha nnao wa kutosha)

Na ukiolewa tena afu bahati mbaya aliyekuoa aka rest in peace, utaolewa tena na tena na tena? Mbona utatumaliza sasa? Lol!
 
potea mbali crispin.......nitaolewa tena na tena na tena.....tatizo liko wapi, wakati bado mzima!
better that than kusema hujaolewa lakini ukawa mistress wa mtu. ......kuolewa bado kuna hadhi yake kwa watoto.
 
potea mbali crispin.......nitaolewa tena na tena na tena.....tatizo liko wapi, wakati bado mzima!
better that than kusema hujaolewa lakini ukawa mistress wa mtu. ......kuolewa bado kuna hadhi yake kwa watoto.

Na imagine mme wako wa tano atakapolazimika kulea watoto sita toka kwa baba tofauti tofauti! Lol! Siyo kwa Chrispin!
 
hahaha ...crispin kweli life expectancy ya watanzania ipo chini sana, lakini sidhani kaa nitafika miaka 60 nishazika waume watano!

wanaume mpende nyie tu kuoa wake zenu wakifa.......lakini nyie mkifa wenzenu wasiolewe! mwee
 
hahaha ...crispin kweli life expectancy ya watanzania ipo chini sana, lakini sidhani kaa nitafika miaka 60 nishazika waume watano!

wanaume mpende nyie tu kuoa wake zenu wakifa.......lakini nyie mkifa wenzenu wasiolewe! mwee

Kwanza kwa taarifa yako, wanaume wagumu sana kuoa wajane. Ila wanawake kuolewa na wajane.......... aaaaah! Very simple. Wife anakufa leo, kesho naoa rafiki yake. Lakini we mumeo akifa mpaka uje uolewe tena, shughuli.
 
crispin hizo enzi hizo..............siku hizi wajane wamepanda chati vibaya mno! hasa mjane mwenyewe akiwa na mapesa yake na status fulani hivi kwenye jamii.

akiwa mjane wa kijijini hana kitu na kaachiwa watoto tele, nakubali anaweza kusota sana japo kama angependa kuolewa (kwa kuwa jamii zetu za kiswahili bado watoto wetu wa kiume hatupendelei waoe wajane)

very sad kumkuta mtu ana miaka chini ya 35 ana watoto watatu mjane, kisha hakuna mtu wa kumuoa, wakati huo ndo umri wa kuanza ku-enjoy maisha kwa familia zenye mambo mazuri
 
potea mbali crispin.......nitaolewa tena na tena na tena.....tatizo liko wapi, wakati bado mzima!
better that than kusema hujaolewa lakini ukawa mistress wa mtu. ......kuolewa bado kuna hadhi yake kwa watoto.



mhhh......
 
crispin hizo enzi hizo..............siku hizi wajane wamepanda chati vibaya mno! hasa mjane mwenyewe akiwa na mapesa yake na status fulani hivi kwenye jamii.

akiwa mjane wa kijijini hana kitu na kaachiwa watoto tele, nakubali anaweza kusota sana japo kama angependa kuolewa (kwa kuwa jamii zetu za kiswahili bado watoto wetu wa kiume hatupendelei waoe wajane)

very sad kumkuta mtu ana miaka chini ya 35 ana watoto watatu mjane, kisha hakuna mtu wa kumuoa, wakati huo ndo umri wa kuanza ku-enjoy maisha kwa familia zenye mambo mazuri

kama wewe bado mjane niambie niaapply!
samahani,hivi wewe ni HE?au SHE?au SEMENYA?(sidhani kama ni nje ya mada)
 
crispin hizo enzi hizo..............siku hizi wajane wamepanda chati vibaya mno! hasa mjane mwenyewe akiwa na mapesa yake na status fulani hivi kwenye jamii.

akiwa mjane wa kijijini hana kitu na kaachiwa watoto tele, nakubali anaweza kusota sana japo kama angependa kuolewa (kwa kuwa jamii zetu za kiswahili bado watoto wetu wa kiume hatupendelei waoe wajane)

very sad kumkuta mtu ana miaka chini ya 35 ana watoto watatu mjane, kisha hakuna mtu wa kumuoa, wakati huo ndo umri wa kuanza ku-enjoy maisha kwa familia zenye mambo mazuri

Inaelekea unapenda sana kuolewa.........
 
nakuwa realistic tu......wanawake wengi wanafikiri kimtindo huo, lakini huwa hawasemi tu......
 
Back
Top Bottom