luhala
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 412
- 142
Binafsi naona heri hata lile gazeti lililoandika "Watoto wa Wassira wajiunga na CHADEMA" kwani kulikuwa na ukweli kwa kiasi kikubwa kwani watoto wale ni wa kaka yake Wassira na kiafrika watoto wa kaka yako na hata mdogo wako ni wako! Lakini hili la kuikejeli familia ya Marehemu Mwangosi aliyeuwawa na serikali dhalimu ya CCM kwa kutumia gazeti lao ni hatari na linaumiza mno. Waandishi mko wapi mlishikie Bango gazeti hili ili nalo "Lifungiwe"At least hilo la hao watoto wasiza (whatever this means..itake it watoto wa Wassira) lina ukweli