Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Habari hii nimeichukua ktk facebook wall ya mchungaji Peter Msigwa na nimecopy na kupaste.
Mjane wa Mwangosi amekanusha vikali habari zilizochapishwa na gazeti la habari Leo kuwa eti yeye alilia rambirambi za Slaa. Akiongea alipokuwa nyumbani kwangu kwa uchungu amesikitishwa sana kuwa habari hizo hazina ukweli wowote na Kama angekuwa na Shida na Dr Slaa angenitafuta Mimi.
Kwanza ni jirani yake na pili anajua ukaribu wangu na Dr. Anasema kitendo hicho kimeamsha Msiba kwani kina lengo la kutaka Jamii imdharau. Anaomba watanzania kuupuza habari hizo na ameshangaa ni maadili gani haya ya uwandishi. Naomaba kuwasilisha
Haya ni maelezo niliyochukua kutoka ktk uzi aliouanzisha msemaji wa Chadema Molemo + picha
My take;
Kama gazeti la habari leo linaweza kupotosha umma namna hii kwa kutumia kodi zetu, basi kazi tunayo kama nchi.
Mjane wa Mwangosi amekanusha vikali habari zilizochapishwa na gazeti la habari Leo kuwa eti yeye alilia rambirambi za Slaa. Akiongea alipokuwa nyumbani kwangu kwa uchungu amesikitishwa sana kuwa habari hizo hazina ukweli wowote na Kama angekuwa na Shida na Dr Slaa angenitafuta Mimi.
Kwanza ni jirani yake na pili anajua ukaribu wangu na Dr. Anasema kitendo hicho kimeamsha Msiba kwani kina lengo la kutaka Jamii imdharau. Anaomba watanzania kuupuza habari hizo na ameshangaa ni maadili gani haya ya uwandishi. Naomaba kuwasilisha
Haya ni maelezo niliyochukua kutoka ktk uzi aliouanzisha msemaji wa Chadema Molemo + picha
Mjane wa Marehemu Daudi Mwangosi amekanusha vikali habari zilizochapishwa na gazeti la habari Leo kuwa eti yeye alimshutumu Katibu Mkuu wa CDM Dr Wilbroad Slaa kuhusu rambirambi za mumewe.Akiongea na Mbunge wa Iringa mjini Peter Msigwa amesema kwa uchungu mkubwa kuwa amesikitishwa sana kuwa habari hizo hazina ukweli wowote na ni aibu kubwa chombo kikubwa cha habari kama Habari Leo kutoa habari ya uongo kwa viwango hivyo. Mjane huyo amesema kama angekuwa na Shida na Dr Slaa angemtafuta mbunge wa Iringa mjini Peter Msigwa ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CDM na kwa hapa Iringa yeye na Msigwa ni majirani. Mjane huyo ameendelea kusema kitendo hicho kilichofanywa na gazeti hilo kimeamsha Msiba upya kwake kwani kina lengo la kutaka Jamii imdharau. Anaomba watanzania kuupuza habari hizo na ameshanga ni maadili gani haya ya uandishi na hajui kwa hali hii Taifa linakwenda wapi.
My take;
Kama gazeti la habari leo linaweza kupotosha umma namna hii kwa kutumia kodi zetu, basi kazi tunayo kama nchi.