Nimeupenda sana mjadala wa leo lakini nadhani ningeupenda zaidi kama kanuni ya audi alteram partem"hear the other side" ingefuata. Kwangu mimi naona mjadala huu umekuwa ni wa upande mmoja sana na hivyo unatufanya tushindwe ku-balance hoja mbili zinazovutana. Hii inaonesha wazi inawezekana mjadala huu umeandaliwa na watu fulani kwa ajili ya kuwakandamiza watu fulani. Kiutaalamu, katika mada kama hizi ni vema sauti za pande mbili zingesikika.
Tujadili uhalali wa mjadala wa upande mmoja
Tujadili uhalali wa mjadala wa upande mmoja