Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Jamani wadau toka niingie mwaka 2012.......sijasikia tena vyombo vya habari vikizungumzia katiba mpya
kila saa nasikia vyombo vya habali vikirusha.......ya kwamba tujitokeze kutoa maoni ya vazi la taifa
inakuaje mbona katiba mpya haizungumziwi namna hii.........hebu nisaidieni labda mimi najiona elimu yangu bado
ipo chini......hivi nini cha muhimu
kila saa nasikia vyombo vya habali vikirusha.......ya kwamba tujitokeze kutoa maoni ya vazi la taifa
inakuaje mbona katiba mpya haizungumziwi namna hii.........hebu nisaidieni labda mimi najiona elimu yangu bado
ipo chini......hivi nini cha muhimu