Ikimita
JF-Expert Member
- Oct 23, 2010
- 300
- 21
Huyu bwana mdogo ananza kupoteza uelekeo
Unategemea nini cha maana kutoka kwake kama mshauri wake mkuu ni Mbatia.
Huyu bwana mdogo ananza kupoteza uelekeo
TV yako haikuwa na kipunguzio?Mtatiro anaumiza masikio. Anadhani kusikilizwa ni kufoka? Kafulila nae hajui kama ccm ni mabeberu #1? Bora chadema wamejifafanua kuwa wao ni chotara kuliko ccm inayosema kuwa wao ni mzungu kumbe tunamwona ni mbantu
upo next week kasema Yahya M. hapohapo StarTV stay tuned! (tuna tatizo moja tukishasikia tusiyotaka basi tunaachana na TV!) twawezaje kujufunza kwa taarifa za upande tuupendao pekee? :embarrassed:...Nimeangalia kidogo. Huo mjadala hauna maana hata kidogo, ukilinganisha na issues za msingi zinazohitaji kujadiliwa kwa mustakabali wa taifa kwa sasa.
...Yanayosemwa ni yale yale yaliyokwishasemwa kwenye mahojiano na magazeti na kwenye tv nyingine. Kwani, ni lazima star tv i-copy yaliyofanywa na tv nyingine? What a waste of time.
...Nani hafahamu kwamba muungano wa vyama hauna tija, hautakuwapo na utaleta mtafaaruku kama utakuwapo. Its a non issue tayari!
...TV itakoyoleta/host mjadala wa katiba mpya ndio itakuwa imefanya jambo la maana na bora zaidi.
sijakuelewa vema hapo bold! kwa maana ingelikuwa Mbowe hautaki utamu huo, angelimwachia mtu mwingine ndani ya Chadema awe kiongozi wa upinzani. yani napotaka kukuelewa nimejikuta sikuelewi... maana kuna maana ndefu sana hapo. wanasema wapwani rangi rangilemi nafikiri vyama vya upinzani vipo kimaslahi zaidi,kwa mfano ndani tu ya chadema hakuna muungano ona mtu kama zitto madudu anayoyafanya ndani ya chama chake,angalia cuf hamad rashid anajua utamu wa kuwa kwenye uongozi wa kambi ya upinzani ndio maana analeta mashinikizo yasiyoeleweka,nccr ndo basi kabisi kiongozi wao wa chama tena kitaifa anaangushwa hata ubunge tu tena na wapinzani wenzake kwa hali kama hii hawawezi kuungana kila chama kina matatizo na majeraha yake.
Yahya,
Samahani sana. Shida ya kuunganisha vyama bungeni inatokea wapi? Hapa ndipo inabidi tutafakali na kujiuliza.Huu ni mkakati wa CCm kutupotezea muda wa kuongelea mambo ya muhimu kuliko hili. Katiba ndio issue kubwa sasa yenye haja ya kujadiliwa na si muungano wa vyama bungeni.
Gurudumu
Kama mada inavyosomeka nilitegemea uaanze kuonyesha njia sasa kwa kujenga hoja ambazo zitasaidia kutoa dira na si kupuuza mawazo mema ya waliotangulia hapo juu.
Lete hoja sasa ya msingi...kama mada inavyosomeka.
Thanks
...Nimeangalia kidogo. Huo mjadala hauna maana hata kidogo, ukilinganisha na issues za msingi zinazohitaji kujadiliwa kwa mustakabali wa taifa kwa sasa.
...Yanayosemwa ni yale yale yaliyokwishasemwa kwenye mahojiano na magazeti na kwenye tv nyingine. Kwani, ni lazima star tv i-copy yaliyofanywa na tv nyingine? What a waste of time.
...Nani hafahamu kwamba muungano wa vyama hauna tija, hautakuwapo na utaleta mtafaaruku kama utakuwapo. Its a non issue tayari!
...TV itakoyoleta/host mjadala wa katiba mpya ndio itakuwa imefanya jambo la maana na bora zaidi.
upo next week kasema Yahya M. hapohapo StarTV stay tuned! (tuna tatizo moja tukishasikia tusiyotaka basi tunaachana na TV!) twawezaje kujufunza kwa taarifa za upande tuupendao pekee? :embarrassed:
Bwana Yahya,
Naomba kama huu mjadala utafanyika J2 ijayo kama ulivyoahidi basi kwa upande wa uccr na cuf tafuta watu wanaoweza kuongea kwa mantiki kidogo kuliko kufoka na kushambulia personality ya wanayeongea naye. asilimia 50 walikuwa wanamshambulia mchangiaji wa chadema binafsi. kisha wakaonesha wanashambulia sera za chadema bila kujua kwamba mapungufu waliyoyataja kwa chadema yako kwao na kwa ccm.
la msingi hawafanyi mjadala ukanoga, tafadhali tafuta wengine.
Yahya, hujaliona tatizo hapa? Ninaposema hapa kuna vipofu wengi huwa wanadhani nazungumzia vipofu wa macho. huwa nawasemea vipofu wa fikra. Hawa hata kama mtu wasiemtaka akiwaambia chakula hiki kina sumu watakila kwa sababu yule wamtakae hajasema. Tatizo wengi wetu tunataka ku-base kwenye yale tuyatakayo na si yale yaliyo kinyume na mapenzi yetu. Je tutaitengenezaje Tanzania tuitakayo kwa kutokuwa na fikra pevu?Shukrani Mwanamageuko
Tusaidiane kuondoa hizi fikara za upande mmoja, raha ya siasa uyajue mambo na uwe objective utashinda kwa urahisi sana. Dunia imebadilika
Tatizo bado ni lile lile... Mara ngapi katika mjadala ule alitajwa HR? au yeye ni haki ashambuliwe? wacheni siasa za kinazi tuwe wakweli. NDIO MAANA NAWAAMBIA HAPA KILA SIKU NA SITOCHOKA KWA HILI:Bwana Yahya,
Naomba kama huu mjadala utafanyika J2 ijayo kama ulivyoahidi basi kwa upande wa uccr na cuf tafuta watu wanaoweza kuongea kwa mantiki kidogo kuliko kufoka na kushambulia personality ya wanayeongea naye. asilimia 50 walikuwa wanamshambulia mchangiaji wa chadema binafsi. kisha wakaonesha wanashambulia sera za chadema bila kujua kwamba mapungufu waliyoyataja kwa chadema yako kwao na kwa ccm.
la msingi hawafanyi mjadala ukanoga, tafadhali tafuta wengine.
sijakuelewa vema hapo bold! kwa maana ingelikuwa Mbowe hautaki utamu huo, angelimwachia mtu mwingine ndani ya Chadema awe kiongozi wa upinzani. yani napotaka kukuelewa nimejikuta sikuelewi... maana kuna maana ndefu sana hapo. wanasema wapwani rangi rangile