Mjadala wa Mafuta na Suala la Muungano

Wanajamvi nakumbuka kuwa kulikuwa na kipindi ambacho kulikuwa na tetesi ya kwamba kuna hazina kubwa ya Mafuta Zanzibar. Na hapo nakumbuka kuwa kuna wanaharakati na viongozi wengi walikuwa wanapiga kelele sn hasa kutoka visiwan kuwa suala la mafuta liondolewe kwenye masuala ya muungano. Naomba kueleweshwa kwa nini hilo suala halisikiki tena? Naomba msaada tafadhali. Nawasilisha
 
:target: huo muungano bora uvunjike tuu...sio kola kitu alicho anzisha nyerere ni kizuri hata yeye ana mapungufu kama binadamu hatutaki hii kitu itokee :laser:
 
hamna mafuta huko yako huku bara, wameshaanza kuhisi hivyo, ni wabinafsi saana hawa ndugu zetu!
 
Waliokuwa wanapiga Kelele ni Viongozi wa Serikali iliyopita, sasa wote hako serikalini, ila wamehamia Uamsho, wanawasubiri kina Sheikh Farid watoke jela ili wawashe moto tena, huko jela wameshakula kiapo kuwa wakitoka tu moto ni ule ule dhidi ya Bara, ila mafuta hayatoshi hata kuchimba
 
Waliokuwa wanapiga Kelele ni Viongozi wa Serikali iliyopita, sasa wote hako serikalini, ila wamehamia Uamsho, wanawasubiri kina Sheikh Farid watoke jela ili wawashe moto tena, huko jela wameshakula kiapo kuwa wakitoka tu moto ni ule ule dhidi ya Bara, ila mafuta hayatoshi hata kuchimba

Zanzbr bila ya mamlaka yao kamili moto upo.
 
Back
Top Bottom