Tuwekeeni dondoo humu wengine tupo mbali na TV.aisee prof kanitia hasira mnoooo maana kafumbua janja zote za CCM. katiba ni ya wananchi na si ccm niko tayari sasa kufa kwa risasi za ccm ili mapinduzi yafanyike watoto wangu waishi kwenye katiba mpya!
Pole sana kijana ndiyo nchi yetu hiiii...tanesco wamechukua umeme wao tusisikilize mdahalo
Msikkilize Prof. Shivji Star Tv. anauchambua mswada wa katiba mpya
Hata huyo mwalimu wao Shivji, kila kitu Shivji, Shivji, Shivji, nchi nzima constitutional thinker mmoja!?Hivi Dar ina chuo kimoja tu cha Dar na matawi yake ama ni wanafunzi hao tu ndo wenye uchungu na nchi hii ama ni tatizo la kimantiki linalovikumba vyuo vingine na wanafunzi wake?...
niseme kweli nasikitika kuona mijadala mbalimbali inayokuwa inaendeshwa katika mambo mbalimbali na sehemu mbalimbali wanaoonekana kuguswa,kuhudhuria na kutoa michango ni wanafunzi kutoka chuo kimoja tu cha Dsm,wanafunzi vyuo vingine mfano Ustawi,Kampala,Kairuki,Muhimbili n.k mnashughurika na nini hasa hata mnakosa uwepo wenu juu ya masuala mbalimbali juu ya nchi yetu?ama ndo kusoma sana?ndugu zetu kusoma ni zaidi ya hapo...kwa vile nanyi ni wasomi na kweli ni wasomi basi tunahitaji michango yenu katika mambo ili tupate changamoto vinginevyo Ud itaonekana na itazidi kuonekana na daima itaeleweka ndo kitovu cha kila kitu kwenye jamii...come on,get up guys!!