Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Kuna tangazo naliona hapa itv ya kuwa kutakuwa na mjadala kuhusu dowans jumanne saa 3:00 usiku. Binafsi ningependa kujua sura ya sakata hili kipindi hiki.
Kuna tangazo naliona hapa itv ya kuwa kutakuwa na mjadala kuhusu dowans jumanne saa 3:00 usiku. Binafsi ningependa kujua sura ya sakata hili kipindi hiki.
Siyo kawaida ya Itv kuwa na kipindi cha mjadala jumanne, nadhani mzee Mengi anauchungu sana anavyoona mafisadi wenzie wanapotaka kula zawalipa kodi wa nji hii kirahisi rahisi namna hii.
Chanel ziko kibao2. Pitia agape tv.uefa champion lig imezsogezwa mbele?