Rwegemereza anaendelea kufagilia jamii forum anasema hata hapa anatumia jina lake kamili na sio jina bandia kama mimi na wenzangu kibao
Wandugu,
Kama kawaida yake, Bw. Mkinga ametamka waziwazi bila woga kwenye Kipindi cha Kipima Joto ITV kuwa wamiliki wa Dowans watakaofaidi mabilioni ni Rostam, Karamagi, Msabaha Chenge.
Sita na mwakiembe wana wanukuu katika vyombo mbalimbali. Duh mjadala ni mkali sana na nimeupenda. Jaman JK na Ngeleja wanauona na wanajisikiaje?!!!Wangewaalika wafuatao:
1. Sitta
2. Rostam
3. Werema
4. Mwakyembe
5. Ngeleja
6. Mwanasheria wa Tanesco
7. Karamagi
huyu jamaa ni hatari sana.
sita na mwakiembe wana wanukuu katika vyombo mbalimbali. Duh mjadala ni mkali sana na nimeupenda. Jaman jk na ngeleja wanauona na wanajisikiaje?!!!