Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
hii dawa nami naiamini kwa kiasi fulani lakini hili suala la ushahidi linaleta utata. Ofisini kwetu kuna mtu ana sukari/hiv lakini tangia arejee kutoka Loliondo ni zaidi ya majuma mawili lakini hatwambii lolote!
hilo ndo tatizo. Tunahitaji ushahidi pleeees!