Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
wakuu hizi habari ni kweli kabisa no joke.....i know mtu wa karibu kaenda kule na kapona ugonjwa mmoja wapo......mganga hataki zaidi ya 500 na huo mti dawa upo kila mahali ila lazima akupe yeye hayo ndio niliosikia ila its true kabisa....uliza watu wa arushab watakuambia ongezeko la magari mjini hapo