Mjadala: Jk alijiandaa kuwa rais au kufikia ndoto ya kuwa rais?

Karibuni masijala

JF-Expert Member
Sep 13, 2012
409
135
Wanajamvi naombeni hoja kwa mjadala huu.
Leo nimemsikiliza MwL Nyerere hotuba zake pia mijadala iliyoandaliwa na vyombo vya habari wiki nzima kwa vipindi mbalimbali vikahitimishwa na masaa 4 Udsm na UDASA kumchambua MwL.

Utendaji wake na mtazamo wake kwa Tanzania hata kwa vizazi vijavyo. Nimeamini alikuwa anajua alijiandaa kuwa zaidi ya Rais. Kutoa taifa hatua moja kwenda nyingine ya Matumaini na hata kuona taifa la miaka 50 ijayo lilinde Misingi aliyoamin ili lidumu.
Kweli alifanikiwa historia mpaka hii 50 iishe itamkumbuka
Jk mdogo\kijana nadhan ndoto yake ilikuwa ni awe rais hakuwa na la zaid ndo maana anashangaa yanayotokea mwaka wa 7 huu.Jambo la kihistoria hakuna ingawa alikuwepo wakati wa mwalimu.
We una maoni gani alikuwa na la kuifanyia Tanzania baada ya kutimiza ndoto ya kuwa rais alitambua Tanzania na changamoto zake kama MwL atumie hiyo nafasi kutuonyesha njia kuzitatua kwani kuongoza kuonyesha njia; atakuwa na cha kuenziwa kama JkMwL alikufa matendo na Kauli ZINAISH na ni Update mpaka KESHO
 
mods usichanganye naomba uiache hii threat ijitegemee na naomba uiamishe kwenye historia ibaki kwenye jukwaa la siasa sio ndani ya sub jukwaa pia iwe inaonyesha imepostiwa tare 15 kwani nimeimaliza muda huu nj nilianza mapema kabla siku mpya
 
Wanajamvi naombeni hoja kwa mjadala huu.
Leo nimemsikiliza MwL Nyerere hotuba zake pia mijadala iliyoandaliwa na vyombo vya habari wiki nzima kwa vipindi mbalimbali vikahitimishwa na masaa 4 Udsm na UDASA kumchambua MwL.

Utendaji wake na mtazamo wake kwa Tanzania hata kwa vizazi vijavyo. Nimeamini alikuwa anajua alijiandaa kuwa zaidi ya Rais. Kutoa taifa hatua moja kwenda nyingine ya Matumaini na hata kuona taifa la miaka 50 ijayo lilinde Misingi aliyoamin ili lidumu.
Kweli alifanikiwa historia mpaka hii 50 iishe itamkumbuka
Jk mdogo\kijana nadhan ndoto yake ilikuwa ni awe rais hakuwa na la zaid ndo maana anashangaa yanayotokea mwaka wa 7 huu.Jambo la kihistoria hakuna ingawa alikuwepo wakati wa mwalimu.
We una maoni gani alikuwa na la kuifanyia Tanzania baada ya kutimiza ndoto ya kuwa rais alitambua Tanzania na changamoto zake kama MwL atumie hiyo nafasi kutuonyesha njia kuzitatua kwani kuongoza kuonyesha njia; atakuwa na cha kuenziwa kama JkMwL alikufa matendo na Kauli ZINAISH na ni Update mpaka KESHO
Tatizo lako kubwa hujui kujieleza/kujenga hoja. Hoja zako ni 'disjointed'. Angalia kichwa cha mada yako hapo juu. Nini maana yake?
 
:juggle: Hapa yaonyesha nawe wataka kuonekana mwema kwa huyu jamaa, sio hivyo tu ila huelewi ni nini unachokizungumzia. huyu jama hana jipya lolote kwenye uongozi wake zaidi ya kucheka ili kukusanya idadi ya wanawake:A S 465:
 
Leo makamanda wakimuona ni shangwe, ndelemo, vifijo na miruzi mirefu ka wachunga ng'ombe. Huenda na jiwe wanamponda ila akiondoka watamsifia
 
Tunahitaji zaidi maono ya taifa, maana wenye njozi ya urais ni wengi japo si wote wanakuwa wamejiamdaa kuwa VIONGOZI WENYE 'VISION'!
KATIBA MPYA NA MAKINI HAIEPUKIKI MAANA TUMEKUWA MNO WATU WA KUTAFUTA MTU WA KUFIKIRI NA KUTENDA KWA NIABA YETU WOTE, NA IMETUGHARIMU SANA!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom