MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
kwanza kwa wote mliochangia hii post nawaomba niwagongee senksi,kwa sababu ile kitufe cha kubofya senksi hakionekani kwangu.
Pili kuna nyumba (flat) ni mpya vya vyumba vitatu inauzwa kwa milioni 53 hapa Tanga.Naomba wadau mniambie ni deal nzuri kununua au ni vizuri kujenga mwenyewe kwa hapa Tanga?asanteni.
Kama hizo nyumba mpya ni mgogoro hapo Tanga nikuunganishe ununua ya zamani Kisosora ufanye marekebisho kisha tandika jamvi na wazee mnywe kahawa.