USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
katika hali inayoonesha kuwa ni mkakati wa polisi na serikali kuidhooofisha CHADEMA na kwa kuwa ni dhahiri kuwa kwa sasa swala la polisi kuuwa ni la mwendelezo ombi langu kwa CDM kama mtakuwa na kikao chochote cha kujadili mauaji haya ni vyema pia mkakubuka kuanzisha utaratibu wa kusaidia wajane na yatima wa watu wanaouwawa na polisi kama ishara ya kuwaenzi HAYATI wote waliouwawa
namaanisha uanzishwe mfuko wa mashujaa wote waliouwawa tangu TARIME ,IGUNGA,MOROGORO,ARUSHA,IRINGA, na kwingineko wakiwa katika harakati za kuleta mabadiliko ili kuzipa moyo familia zingine zijue pia kuwa CHADEMA kama msemaji wa wanyonge yuko tayari kuhakikisha usalama wa yatima katika elimu na katika afya na mambo muhimu yote ie ALL SOCIAL SERVICES
na mfuko huu utangazwe vyema hata humu jf tushiriki barabara TIZAMA NDUGU ZANGU WANA JF HATA HAWA WATOTO WA HAYATI MWANGOSI WATAISHIJE? tunaamini chadema you can do initiation we are ready to provide you a support NAOMBA MAWAZO HAYA YACHUKULIWE SERIOUS AHSANTENI nimeandika lakini siko vizuri moyo wangu unauma kwa haya polisi wanayofanya
namaanisha uanzishwe mfuko wa mashujaa wote waliouwawa tangu TARIME ,IGUNGA,MOROGORO,ARUSHA,IRINGA, na kwingineko wakiwa katika harakati za kuleta mabadiliko ili kuzipa moyo familia zingine zijue pia kuwa CHADEMA kama msemaji wa wanyonge yuko tayari kuhakikisha usalama wa yatima katika elimu na katika afya na mambo muhimu yote ie ALL SOCIAL SERVICES
na mfuko huu utangazwe vyema hata humu jf tushiriki barabara TIZAMA NDUGU ZANGU WANA JF HATA HAWA WATOTO WA HAYATI MWANGOSI WATAISHIJE? tunaamini chadema you can do initiation we are ready to provide you a support NAOMBA MAWAZO HAYA YACHUKULIWE SERIOUS AHSANTENI nimeandika lakini siko vizuri moyo wangu unauma kwa haya polisi wanayofanya