Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Najua kwa Tanzania miziki ya zamani inaitwa zilipendwa,je kwa kenya ni katitu?
Kama ndo katitu kwa kenya na TZ ni zilependwa je ni miziki gani zilivuma?
Bado sijajua kama miziki ya zamani kenya ni katitu,kama siyo katitu basi mods rekebisheni kutokana na michango ya wadai.
I mean
Zilipendwa Vs katitu(miziki ya zamani ya kenya)ipi ilisikia sana afrika mashariki?sina uhakika kama katitu ndo ndo zilipendwa za kenya ila wakenya msinipige mawe maze!
Kama ndo katitu kwa kenya na TZ ni zilependwa je ni miziki gani zilivuma?
Bado sijajua kama miziki ya zamani kenya ni katitu,kama siyo katitu basi mods rekebisheni kutokana na michango ya wadai.
I mean
Zilipendwa Vs katitu(miziki ya zamani ya kenya)ipi ilisikia sana afrika mashariki?sina uhakika kama katitu ndo ndo zilipendwa za kenya ila wakenya msinipige mawe maze!