Karamagi hakuwepo bungeni kuona waziri mkuu akiwa anaapishwa .
Pinda kaondoka na Msafara , na huku Lowassa akiondoka na walizni wawili, kweli ufisadi ni mbaya sana kwani kama alikuja na vimulimuli na hapa anaondoka kwa gari mbili na walinzi wawili.
Matokeo.
JUMLA ZILIZOPIGWA 282.
IMEHARIBIKA -1.
HAPANA -2
NDIO -279.
ANatangaza kuwa amepata 99.% hivyo ndio anajiandaa kutoa hotuba nawawekea summary hapa kwa kadri nitakavyoweza,
nahisi kura iliyoharibika ni ya mheshimiwa Getrude Rwakatare maana hajui bado bungeni maana yake nini ...kwi kwi kwi kwi
Naona unataka kuanzisha ugomvi na watu fulani hapa .... au ndio ijumaa imeanza hivyo na waziri mkuu kutoka "usalama wa taifa"?
Matokeo.
JUMLA ZILIZOPIGWA 282.
IMEHARIBIKA -1.
HAPANA -2
NDIO -279.
ANatangaza kuwa amepata 99.% hivyo ndio anajiandaa kutoa hotuba nawawekea summary hapa kwa kadri nitakavyoweza,
Mke wake alishafariki.Sijaona anamshukuru mke wake lakini nimeona watoto tu,,,,, hawa watoto hawana mama?????????
Kura ilo haribika ni ya Lowassa. Hiii Hii Hii
Kati ya kura 2 za hapana moja ni ya Membe hii nyingine sina uhakika ni nani.
Si ya Karamagi?
Karamagi tunaambiwa na Mpaka kieleweke hakuwa bungeni leo...
Mke wake alishafariki.
Hahahahah,Mzee wa buzwagi ameenda kwa wazeee nini, then what will happen when zito et.al conclude their report, will it be discussed in the parliament?, and as i know, Karamangi will not be in any ministerial post, then what will be his fate, or the report will be a white wash?
Hapana, ALIKUWEPO hata Rostam alikuwepo pia. Mmojawapo kati yao kaharibu kura!Karamagi tunaambiwa na Mpaka kieleweke hakuwa bungeni leo...
Ooh really? R.I.P
Anaweza kuangalia namna ya kuoa tena
mhh makubwaBangusilo una undungu na Dr Msabaha, am curious.....!!