The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Hiyo samary ya hotuba yake inanipa wasiwasi. Inaonekana hajiamini sana hivyo na wasiwasi kama atakimudu hicho cheo. Nifikiri tumeruka mkojo tumekanyaga m*****i!!!!!!!!! Anyway, hongera mkuu, hayo yalikuwa ni mawazo yangu tu. Actually mi ndiyo kwanza nimemsikia huyu jamaa leo asubuhi hapa JF!!!!